Mchumba hataki kusex anataka kulipa mahari

Miss Natafuta

JF-Expert Member
Sep 16, 2015
25,470
45,614
Salam aleikum wadau,

Mimi kama Mwenyekiti wa wanawake tulioamua kustaafu kusex bila ndoa nimepata malalamiko toka kwa mwanachama wangu mnajua bana sisi wanawake mtuelewe tu sometimes tupo off saa zingine on kapata mchumba sharti la kwanza mwenyewe mdada akamwambia jamaa no sex till marriage jamaa akamwambia poa hata mimi nataka mwanamke kama wewe.

Imefika katikati mdada anataka kujaribu amemtega jamaa wewe hadi amelala kwake ila jamaa hapigi gemu kabisa na sasa anaprocess ndoa. Sasa huyu member mwenzetu anadai ana hofu anataka gemu kwanza mimi hata simuelewi jamani anaomba ushauri maana nimempa ID yangu hapa anasoma.

Matusi muache jamani, shaurini kiungwana mambo ya mahusiano ni magumu jamani.
 
salam aleikum wadau
mimi kama mwenyekiti wa wanawake tulioamua kustaafu kusex bila ndoa nimepata malalamiko toka kwa mwanachama wangu.mnajua bna sisi wanawake mtuelewe tu sometimes tupo off saa zingine on.
kapata mchumba sharti la kwanza mwenyewe mdada akamwambia jamaa no sex till marriage jamaa akamwambia poa hata mimi nataka mwanamke kama wewe.
imefika katikati mdada anataka kujaribu amemtega jamaa wee hadi amelala kwake ila jamaa hapigi gemu kabisa na sasa anaprocess ndoa .
sasa huyu member mwenzetu anadai ana hofu anataka gemu kwanza .mimi hata simuelewi jamani anaomba ushauri maana nimempa id yangu hapa anasoma.
matusi muache jamani shaurini kiungwana mambo ya mahusiano ni magumu jamani
Huyo Jamaa nitumie namba yake nimrushie Vocha.. Amenifurahisha sana.. Demu katingisha kiberiti jamaa kakaza kweli
 
Humwelewi nn,amepewa mashart amekubali...ngoja afunge ndoa kabisa coz nae anajua huyo Dada ni Virgin sasa kazi siku ya ndoa anakuta kitu kinapita bila chenga...atavunja ndoa ooh,haya mambo ya miaka hiyoooo 1940s ,au unampa muda mzuri wa kujiselfisha nje ya huyo Dada...
Ngoja nimwambie huyo Dada...sisi wanaume hatuna uvumilivu sana labda kama anakupenda kwa dhati...lakini ukichelwa itakula kwako..
Hitimisho..Kama ametoa na mahali MPE chake..asije endelea na game za nje
 
Humwelewi nn,amepewa mashart amekubali...ngoja afunge ndoa kabisa coz nae anajua huyo Dada ni Virgin sasa kazi siku ya ndoa anakuta kitu kinapita bila chenga...atavunja ndoa ooh,haya mambo ya miaka hiyoooo 1940s ,au unampa muda mzuri wa kujiselfisha nje ya huyo Dada...
Ngoja nimwambie huyo Dada...sisi wanaume hatuna uvumilivu sana labda kama anakupenda kwa dhati...lakini ukichelwa itakula kwako..
Hitimisho..Kama ametoa na mahali MPE chake..asije endelea na game za nje
umeelewa nilichoandika kweli?
 
Huyo jamaa anadhani bi dada yupo kumpima uvumilivu wake wa mitego ya ngono.

Huyo mwanamke anatia shaka nae uwezo wake kitandani, mwanamke utashindwaje kumtega mwanaume uliyelala nae kitanda kimoja, kama huwa analala na dela au suruari mwambie aanze kulala na pichu tu tena alkweke mashuka mengine libaki moja tu ambalo wajifunike pamoja, usiku ajifanye mlala vibaya amtundike jamaa upaja katikati ya miguu yake. Ajifanye anasikia baridi amkumbatie jamaa kwa nguvu yeye akiwa mbele jamaa kwa nyuma kiubavu.....jamaa akichomoka hapo kweli ana Mungu wake
 
hahaha duu kuna watu wanamioyo migumu aisee unalala nae kwa bed bila ku do daa huo ni ujasiri hyo dada nae daa nashindwa hata kushaur maana ana ile kitu inaitwa TEST BEFORE USE.
 
Du hiyo special 'delivery to be opened on your honey moon' nayo inataka moyo, ukikutana na vituko huko na ndoa yenyewe ni ra Roman Catholic sijui unafanya nini?
Wanaosema shake before use unafikiri hawakukoroga vizuri?
 
kama wakati wamelala wote haikudinda .. sababu wanaume wanadinda usiku na asubuhi lazime kiwe mnara kama yupo lijali kweli.. sasa mwenzangu mmelala hata kudinda kwa asubuhi hakupo teh hata me ningetaka kujaribu kukutana na kidudu kimelegea mpaka ukisokomeze na kidole na hana mikiki sababu akijivuta tu au ukapiga chafya kimechomoka ote mae ajaribu tu
 
14 Reactions
Reply
Back
Top Bottom