Recent content by delabuta

  1. delabuta

    JamiiForums Tanzania Job Ndugai: Sijui nina watoto wangapi!

    Jamani wapare ni watata kwa vipi acheni uzushi
  2. delabuta

    JamiiForums Tanzania Mgogoro ndani ya CHADEMA!?

    mtangoja sana magamba
  3. delabuta

    JamiiForums Tanzania Spika Anne Makinda, something is wrong...

    jamani msimlaumu tatizo hana mume nyie mnamuona yuko normal? miaka 68 hajapata wa kuzeeka naye zaidi ya kuiba wanaume za watu
  4. delabuta

    JamiiForums Tanzania Kwa hili la leo ni wazi kuwa CCM wamejiua!.

    kumbe ndio mpango wao kuwapeleka watu ambao hawahusiki mahakamani ili watufunge midomo imekuwa kwao vibaya sana ngubu ya umma.
  5. delabuta

    JamiiForums Tanzania Hatimaye afande Kova ajibu shutuma juu yake

    Nimependa ujumbe mzuri wananchi tusikubwali kufa na chama cha mabwepande wanakupeni pombe na tishirt mkafanye vurugu wao wapo salama na familia zao, mwigulu unanuksi kwani jimbo umebinafsishwa mpaka hutaki mtu mwingine afanyemkutano? mbona ccm mnajidanganya hivyo???/
  6. delabuta

    JamiiForums Tanzania Niliyojifunza katika siasa za CCM na CHADEMA!

    mawazo mgando hujaelewa elimu ya uraia ndugu.
  7. delabuta

    JamiiForums Tanzania Hatimaye afande Kova ajibu shutuma juu yake

    kwa kifupi kova hana mvuto kwa sasa yeye alie tu amekosea picha imeungua kazi kwake makengeza yanazidi kila kukicha.pole kova.
  8. delabuta

    JamiiForums Tanzania Huyu ndiye Waziri wangu wa Sheria na katiba

    hicho ni kichwa asiyejua ni magamba tu, sidhani kama kuna mtu hamjui huyo kama ni jembe.
  9. delabuta

    JamiiForums Tanzania CHADEMA: Dar mpaka DC funika mbaya

    asante mkuu kwa taarifa nzuri
  10. delabuta

    JamiiForums Tanzania Kulikuwa na Sababu ya Watoto wa Kikwete kuhudhuria sherehe za kuapishwa Mawaziri?

    vilaza hao na ulimbukeni poleni
  11. delabuta

    JamiiForums Tanzania Hukumu ya kupinga ubunge wa Mhe Opulukwa (CHADEMA) kesho 4/05/2012

    asante chitanada kwa taarifa endelea kutujuza. leo shitani ataumbuka.
  12. delabuta

    JamiiForums Tanzania Hukumu ya lema ilipikwa.

    mwenyewe nilipigiwa simu na kigogo serikalini juzi akiniambia matokeo ya arusha yatabatilishwa lema sio mbunge tena.nikamwambia acha tuone kumbe kweli, jamani katiba ibadilishwe mahakama ziwe huru.
  13. delabuta

    JamiiForums Tanzania Nassari yuko mjini leo

    asante kwa taarifa mkuu
  14. delabuta

    JamiiForums Tanzania Godbless Lema avuliwa ubunge

    hayo tuliyajua tangu muday kwani ccm walishasema tayari kwamba uchaguzi arusha utarudiwa so tumejiandaa cdm
  15. delabuta

    JamiiForums Tanzania Natangaza nia ubunge jimbo la mtera 2015

    kama upo tayari jipange usiogope uchawi kwa sababu hata arumeru ccm walikuja na waganga wao akina maji marefu but walikutana na jesus akawamaliza wote so wewe jipange 2015
Back
Top Bottom