CHADEMA: Dar mpaka DC funika mbaya

Saizi saa saba nimepita jangwani mbona hamna watu kuna viti vya plastik kama 20 tu kwa mbali utadhani kuna kamkutano ka Injili.

Shirikisha ubongo wako katika kufikiri!
kwa hiyo ulitegemea watu wote watakao-hudhuria leo, ambao ni zaidi ya watu elf 10 wakae kwenye viti?! kwani hiyo ni harusi?! After all, bado ni saa saba, acha kuwashwa gamba wewe, subiri ifike saa 9 ndo uandike huo utumbo wako.
 
Huku jangwani kukizidi kupendeza huko DC Msigwa, Nasari na Zitto wanatarajiwa kufunia kwenye mkutano unaotarajiwa kufanyiaka muda si mrefu kuanzia sasa utakao huduliwa na watanzania zaidi ya 2000. pamoja na mkutano huo makamanda hao watafungua tawi la Chadema kwa kushirikiana na jumuiya ya watanzania wanaoishi Marekani, nikiongea na Kamanda Nasari alisema "we want them to be involved in social economical and political affairs eg katiba mpya." wengi wanatarajiwa kuvua magamba na kuvalishwa magwanda huko huko.

Mungu ibariki Chadema izidi kusonga mbele.
View attachment 54664
Huu ni Uzushi sisi wabeba mabox hatutoenda huko Box atalifanya nani .. na rent tutalipaje, watakaoenda huko kupoteza muda ni wale wale wachache..ndio maana wanawahonga bia na msosi maana hamna atakae enda huko...
 
Jamani 2pien picha kwan c wengne,tanesco tayar wamefanya mambo yao ya kanawaka na kuzima,wanadai mgao haujaisha.
 
Saizi saa saba nimepita jangwani mbona hamna watu kuna viti vya plastik kama 20 tu kwa mbali utadhani kuna kamkutano ka Injili.
Upo? mwaka huu mtaungua magonjwa ya moyo...nakushauri uhame kwani CCM ni ukoo wenu? maana kama ni dini,timu, kabila watu wana hama mfano Lowasa alihama kabila......
 
Saizi saa saba nimepita jangwani mbona hamna watu kuna viti vya plastik kama 20 tu kwa mbali utadhani kuna kamkutano ka Injili.
Upo? mwaka huu mtaungua magonjwa ya moyo...nakushauri uhame kwani CCM ni ukoo wenu? maana kama ni dini,timu, kabila watu wana hama mfano Lowasa alihama kabila......
 
Kifo kinapomkuta mtu siku zote hukifuata yeye mwenyewe,kinachojiri hivi sasa ni anguko la CCM amabalo chanzo chake ni ombwe la uongozi na kuto thamini kuwa cheo ni dhamana.

Chonde chonde CDM, M4C ilete tija ikiwa ni pamoja na kuongeza umakini kwa wa magamba wanaojikwangua ili kuvaa gwanda maana kwenye msafara wa mamba kenge nao wamo.
 
Huu ni Uzushi sisi wabeba mabox hatutoenda huko Box atalifanya nani .. na rent tutalipaje, watakaoenda huko kupoteza muda ni wale wale wachache..ndio maana wanawahonga bia na msosi maana hamna atakae enda huko...
Pole sana naona bado uko usingizini...
 
Saizi saa saba nimepita jangwani mbona hamna watu kuna viti vya plastik kama 20 tu kwa mbali utadhani kuna kamkutano ka Injili.

Aisee una kichwa kigumu kweli! We umeambiwa washington dc halafu unazungumzia jangwani! ........ Mwalimu wako ana kazi!
 
img_2910.jpg
img_2941.jpg
img_3017.jpg
img_3039.jpg
img_3050.jpg
img_3117.jpg
img_3226.jpg
Chadema USA
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom