Ishina
Senior Member
- Dec 27, 2011
- 169
- 57
Saizi saa saba nimepita jangwani mbona hamna watu kuna viti vya plastik kama 20 tu kwa mbali utadhani kuna kamkutano ka Injili.
Shirikisha ubongo wako katika kufikiri!
kwa hiyo ulitegemea watu wote watakao-hudhuria leo, ambao ni zaidi ya watu elf 10 wakae kwenye viti?! kwani hiyo ni harusi?! After all, bado ni saa saba, acha kuwashwa gamba wewe, subiri ifike saa 9 ndo uandike huo utumbo wako.