- Thread starter
- #81
CHADEMA tunawapenda tu hata kama wakiwa na migogoro, jamii isiyo na migogoro ni jamii iliyokufa kiakili
kumbe migogoro ikiwa CCM tu ndio ina madhara, ikiwa CHADEMA ni poa tu
CHADEMA tunawapenda tu hata kama wakiwa na migogoro, jamii isiyo na migogoro ni jamii iliyokufa kiakili
TUNTEMEKE unamjuwa au unajisemea tu? ingawa mmemlamba ban lakini nna-uhakika ukimuudhi atakuja kivingine, shauri lako.
Vipi software ya kudhibiti mahesabu ya chama iliyowekwa na Josephine wa mzee Slaa, imesharekebishwa maana ilitowa hesabu za mapato "0" za bajeti. Umesahau sakata lake?
Ukiwashika patamu magwanda tazama wanavyoporomosha matusi! kwi kwi kwi teh teh teh!
Sasa ni dhahiri kuwa kuna mgogoro wa chini kwa chini ndani ya CHADEMA kati ya viongozi wake, ingawa viongozi wake wamekuwa wakifanya kila jitihada kuficha
Tukio la hivi karibuni viongozi wake wamekuwa wakifanya kila njia kuhakikisha suala la Mnyika kumtumia sms za vitisho Mh. Mwigulu Nchemba linamalizwa nje ya vyombo vya usalama, viongozi wamekuwa wakimshutumu sana Mnyika kwa uamuzi alioufanya wa kutuma sms za vitisho kwa Nchemba hali inayokifanya chama kutumia nguvu kubwa kushughulikia suala hilo, pia wamekuwa wakimshutumu kwa uamuzi wake wa kwenda kufanya mkutano huko Singida hadi kusababisha mauaji.
Pia umetokea msuguano kati ya Mbowe na Zitto kutokana na uamuzi wa Zitto kususia kutoka nje ya Ukumbi wa Bunge pamoja na wabunge wengine wa CHADEMA baada ya kutokea msuguano kati Tundu Lissu na Werema, inasemekana siku hiyo Mbowe ambaye hakuwepo Bungeni alimtumia sms Zitto akimshutumu Zitto kwa uamuzi wake wa kubaki ukumbini wakati wenzake wanatoka nje, hata hivyo inasemekana Zitto alimjibu Mbowe kuwa suala lile lilikuwa kati ya Lissu na Werema hivyo lilikuwa halimhusu yeye,
NOTE: Kama hali iko hivi mapema itakuwaje wakikabidhiwa nchi, si watachinjana hawa
Nawasilisha!!!?
Chanzo??
Lakini napenda kusema hivi migogoro ni afya kwa chama maana lazima kuwe na kutofautiana kimawazo chama si kanisa au msikiti.ninachotaka kukwambia wewe na wenzako wenye akili kama zako za kushikilia hakuna mgogoro wa haina hiyo chadema na hautakaa utokee,chadema si kama ccm mtu akiwa na mawazo tofauti mnamtengenezea zengwe mumtoe
Kwa matusi aliyotoa werema aliitukana Kambi ya Upinzani.Lissu haulizi maswali kama baba wa faau kaka.anauliza kama mbunge kutoka CHADEMA/Upinzani na pia ana role yake kama Chief whip
Mtu yeyote decent hawezi kukaa kwenye Bunge ambalo Mwanasheria mkuu wa serikali ametumia vulgar dhidi ya chief whip na kambi ya Upinzani.Wabunge wa upinzani wanastahili kujifunza diplomatic walk out na kujua ni wakati gawa kutoka na wakati gani wa kubaki.Walk out si utovu wa nidhamu kama baadhi ya mbeuzi(cynics) wanavyoamini/wanavyoaminisha watu........
CCM wakiboresha maisha ya waZT watakuwa wamewashika pabaya wapinzani..........I mean a day usemi wa maisha bora kwa kila mTZ ukitimia wapinzani watakuwa hoi.......
Sasa ni dhahiri kuwa kuna mgogoro wa chini kwa chini ndani ya CHADEMA kati ya viongozi wake, ingawa viongozi wake wamekuwa wakifanya kila jitihada kuficha
Tukio la hivi karibuni viongozi wake wamekuwa wakifanya kila njia kuhakikisha suala la Mnyika kumtumia sms za vitisho Mh. Mwigulu Nchemba linamalizwa nje ya vyombo vya usalama, viongozi wamekuwa wakimshutumu sana Mnyika kwa uamuzi alioufanya wa kutuma sms za vitisho kwa Nchemba hali inayokifanya chama kutumia nguvu kubwa kushughulikia suala hilo, pia wamekuwa wakimshutumu kwa uamuzi wake wa kwenda kufanya mkutano huko Singida hadi kusababisha mauaji.
Pia umetokea msuguano kati ya Mbowe na Zitto kutokana na uamuzi wa Zitto kususia kutoka nje ya Ukumbi wa Bunge pamoja na wabunge wengine wa CHADEMA baada ya kutokea msuguano kati Tundu Lissu na Werema, inasemekana siku hiyo Mbowe ambaye hakuwepo Bungeni alimtumia sms Zitto akimshutumu Zitto kwa uamuzi wake wa kubaki ukumbini wakati wenzake wanatoka nje, hata hivyo inasemekana Zitto alimjibu Mbowe kuwa suala lile lilikuwa kati ya Lissu na Werema hivyo lilikuwa halimhusu yeye,
NOTE: Kama hali iko hivi mapema itakuwaje wakikabidhiwa nchi, si watachinjana hawa
Nawasilisha!!!?
unapoteza muda bibi yako kajifunguwa nenda ukamsaidie kunyonyesha mkandu wewe
Hahahaha CHADEMA wakishikwa bana hahaha basi MNYIKA anfanya kazi ya ziada vijana lazima walipwe mara mbili waje kuporomosha mvua za matusi hapa hahahahaha
Kipuri, sijawahi kuona mtu mzushi na mwenye majungu kama wewe. Hizi habari unazotuletea zinaonekana wazi kabisa kwamba zimepikwa.Sasa ni dhahiri kuwa kuna mgogoro wa chini kwa chini ndani ya CHADEMA kati ya viongozi wake, ingawa viongozi wake wamekuwa wakifanya kila jitihada kuficha
Tukio la hivi karibuni viongozi wake wamekuwa wakifanya kila njia kuhakikisha suala la Mnyika kumtumia sms za vitisho Mh. Mwigulu Nchemba linamalizwa nje ya vyombo vya usalama, viongozi wamekuwa wakimshutumu sana Mnyika kwa uamuzi alioufanya wa kutuma sms za vitisho kwa Nchemba hali inayokifanya chama kutumia nguvu kubwa kushughulikia suala hilo, pia wamekuwa wakimshutumu kwa uamuzi wake wa kwenda kufanya mkutano huko Singida hadi kusababisha mauaji.
Pia umetokea msuguano kati ya Mbowe na Zitto kutokana na uamuzi wa Zitto kususia kutoka nje ya Ukumbi wa Bunge pamoja na wabunge wengine wa CHADEMA baada ya kutokea msuguano kati Tundu Lissu na Werema, inasemekana siku hiyo Mbowe ambaye hakuwepo Bungeni alimtumia sms Zitto akimshutumu Zitto kwa uamuzi wake wa kubaki ukumbini wakati wenzake wanatoka nje, hata hivyo inasemekana Zitto alimjibu Mbowe kuwa suala lile lilikuwa kati ya Lissu na Werema hivyo lilikuwa halimhusu yeye,
NOTE: Kama hali iko hivi mapema itakuwaje wakikabidhiwa nchi, si watachinjana hawa
Nawasilisha!!!?