Ndugu mpendwa KJ pole sana kwa presha naamini ingekuwa mm walah, ningerudia njiani nakumpa blac & white huyo fataki, Mungu amekufungulia njia kujua mbaya wa mwanao kwa kufungua kinywa cha kinda wako kukuambia ukweli, wengine huhongwa mengi nakuambiwa wasiseme nyumbani, chamsingi, usichelewa...