Caroline Danzi
JF-Expert Member
- Dec 19, 2008
- 3,713
- 1,263
Watoto wanaolelewa na HG's tu peke yao bila guidance ya wazazi. Sometimes akiwakataza kutoka wakisema kwa mama au baba mnamuwakia HG as if amekosea. Sasa nyie wenye hiyo tabia ndioy hapo fataki anapopata upenyo wa kuwakamata. Tutaibika jamani oooh! shauri yetu