Tukumbuke majina ya utani kwa walimu shule tulikotoka

MWL KITABU ............huyu alikuwa anajua kila kitu ukisoma tuishen yake lazima afaulu
MTAALAM ..........huyu alikuwa pale mapambano .........hesabu zote alikuwa anazijua
 
Kwa wale wa Mzumbe Sec kuna mwalim anaitwa Mtelesi hapendi wanafnzi kuwa na simu akatungiwa jina la Antimtelephone! Na sababu nyuma kafungasha wanamuita Mali ya Nyungu!
 
TELL US mwalimu wa BK f2&3 Umbwe sec, alipenda kuuliza Tell us? ukikosa tu anaonyesha kidole yaani toka nje, anamfuata mwingine, nae hivyo mpaka mtu ajibu swali la slivyo wote mtoke nje, tukamuita Tell Us
 
KUFA-Ticha wa sayansi drs la 6 n 7,akiingia 2 drsn anasema wote kufa,kufa,kufa,mnalala kwny dawati,then anapitisha fimbo za mgongo balaa.
MABAGS-sitamsahau huyu ticha akikukuta hata kariakoo anakukimbiza akikukamata anajisifu then anakuacha,anakwambia yeye akimkuta pugu boy mahali popote lazma amjue,ila alikuwa shallow sn kwny kemia,
MABESI-Ticha wa bios o-level alikuwa na sauti kama kameza sub-woofer ya kichina.

ddaah kwenye red hapo mkuu umenikumbusha those days!!!!! yan vilima vya pond alikuwa anashuka kama vx v8
 
Dude:alikuwa headmaster wangu
Peazi a.k.a Toxic:huyu alikuwa haeleweki mara afundishe biology mara hesabu mara geography mara chemistry!alikuwa ana likichwa libaya huyooo!halafu ana upara.
Density:huyu alikuwa ticha wa physics,sista flani hivi peace sana ila akikukuta na kosa sio chini ya fimbo 20.Alikuwa akiingia darasani mna state law kama 10 hivi ndio mnakaa.
 
Consider= Huyu alikuwa mwalimu wangu wa mathematics form one Mwaseco-mwanza- tulimpa jina hilo maana kila akitaka kuto amfano lazima aanze kwa kusema" let us consider.."
Nyoka= Huyu alikuwa pale PUGU Boys du! jamaa alikuwa anachapa huyu, lakini alikuwa makabila sana alikuwa hawachapi jamaa wa kabila la kutoka kule mkoa wa ziwa magharibi
 
nakumbuka baadhi ya majina ya walimu waliyopewa na wanafunzi kama ifuatavyo:

1. Solar system - mwalimu wa geograph form 1 au 2 alifundisha solar system akapatiwa jina hapohapo

2. Bambabay - mwalimu wa commerce form 3 alikua akielezea transport system,akaitaja bambabay ndio ikawa jina lake.

3.magazijuto - mwalimu wa hisabati darasa la saba alifundisha magazijuto na yeye ndio ikawa jina lake la utani au aka

4. Chonya of chilimwa - mwalimu wa kiswahili secondary alisoma habari za chonya of chilomwa akawa ndio jina lake

tupeni majina zaidi
kuna mwalimu mmoja tulimwita" maajabu ya muziki",alipenda sana kutamka maneno hayo anapoelezea dhima ya muziki katika jamii
 
SHIIT: Mwalimu wetu wa kiingereza alipenda sana kusema "shiit" tukamwita jina hilo
ACTUALLY: Mwalimu wetu wa phisics alipenda kila mara kusema "actually"
 
jaman mi nakumbuka nsumba 2likuwa na ticha anaitwa maumivu ful kukunja uso, na
zuma 2lilikuta hlo jina eti alifndsha kitab cha mine boy,
sumve nlikutana na shogamwaju,makaveli,maza,domodebe,rude alikuwa black. ilikuwa raha sana bt na mm xaxa nasomea ualimu hope ntapewa la kwangu.

du! Hao wasumve umenikumbusha mbali sana
 
Mwalimu Domain, alikuwa anafundisha hesabu na alophamia shuleni kwetu topic aliyoanza nayo ni ya mambo ya domain na range. Kwa hiyo kila dakika utamsikia akiuliza what is the domain?

Ulisoma ShyBush nini?
 
jaman mi nakumbuka nsumba 2likuwa na ticha anaitwa maumivu ful kukunja uso, na
zuma 2lilikuta hlo jina eti alifndsha kitab cha mine boy,
sumve nlikutana na shogamwaju,makaveli,maza,domodebe,rude alikuwa black. ilikuwa raha sana bt na mm xaxa nasomea ualimu hope ntapewa la kwangu.

nakutabilia jina la NUKSI
 
Topics kama hizi zinatumiwa na usalama wa taifa kujua we ni nani na uko wapi? Beware
 
Kana kwamba
Alikuwa anafundisha Siasa - kila baada ya maneno mawili anasema kanakwamba
....wakoloni watifufanya kanakwambaaa sisi sio binadamu kanakwambaaa ...halafu tulitoka utumwani kanakwambaaa...
Kuna siku mwanafunzi alijibu mtuhani kanakwamba kibaoooo akakasirika sana
 
Shikwenshi- Alikuwa anfundisha hesabu Ngarenaro form2
Homeabilz- history form 1 ngarenaro (walimu wa mafunzo wakitokea JKT)
Kicheche- Ngarenaro ila na sikia sikuhizi kawa padri alikuwa anapenda mademu
za-boss- Ngarenaro alikuwa mweusi kama mbwa wa shule na huyo mbwa alikuwa hampendi so kila alimwona lazima amchenjie ndipo akapachikwa hilo jina
Njenje - Jitegemee alifundisha kemia(Mr. Bakuza)
Shozniga- Jitegemee (now ni marehemu (Mr. Skaponda) alikuwa academic )
Mzee wa Rambirambi-Jitegemee mwalimu wa nidhamu na gari lake likapewa jina Rambirambi Trans
 
Kwa kusoma hizi post naweza kuanza kumjua nani kasoma wapi? hahhahaha asanteni
 
Aza Boys
Enzi zinaingia Yebo yebo kuna Mwalimu alikuwa anaitwa Ntwaza alikuwa akikuona umevaa yebo alikuwa ananyang'anya halafu baada unakuta ndugu zake wamezivaa waliokuwa wanakaa Hostel wanajua.
AKAPEWA JINA LA YEBOYEBO
 
Back
Top Bottom