ni muda mrefu tangu mbunge wa jimbo la gairo alipolikwapua jimbo hilo likiwa na hali mbaya sanaa. asipewe sifa kwa nini? tunasema apewe sifa kwanza amelitoa jimbo sehemu mbaya na amejaribu sana kusaidia watu wengi kwa namna moja au nyengine kuanzia elimu,maisha,nakadhalika hivyo ukweli anahitaji sifa sana na ninamuombea kwa mungu kamwe asiliachie jimbo la gairo pamoja na wale wote wanaojaribu kumchafua jina lake kisiasa washindwe kwani sisi ndo wakazi wa pale na tunamjua kuliko mtu mwengine yeyote .