Recent content by Cassimwamwinyi

  1. C

    Trump alipomtembelea Papa Fransis Vatican

    Hata Maalim Seif si alienda huko Kuomba Atangazwe na Papa kuwa Rais wa Zanzibar
  2. C

    Tunafanya flashing, unlocking and repair kwenye simu

    natafuta kioo complete cha S4
  3. C

    Hii ndio sheria itakayo waumbua Simba sc Fifa

    Kama matokeo ni Uwanjani Point za Mezani za Serengeti Boys Tff ilienda kuzidai za nini?
  4. C

    Mwanamke au mwanaume wako akijiunga Badoo muogope

    Ha haa ha Dah Nimecheka hadi nimetokwa na Machozi itakua nimekusaidia Kulia [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]
  5. C

    North Korea inatumia 'QUANTUM CODE OF COMMUNICATION' wana FIZIKIA na IT dadavueni zaidi.

    Mmh Mimi mtaalamu wa Kilimo wacha niangalie tu Wataalamu wakifanya yao
  6. C

    UCHAMBUZI WANGU JUU YA MGOGORO WA KOREA KASKAZINI NA MAREKANI.

    Marekani wanauwezo mkubwa wa kuishambulia Machame kuliko Saa ya ufufuo na Uzima inapoanza kwa utaratibu wa jinsi navyochukia ninavyoacha ile hamsini kwenye dirisha la malipo ya mwendokasi, Kwa Korea Kusini kupitia Gongo la mboto huku tukijua fika kuwa Zito Kabwe kutokana na hali ngumu ya Maisha...
  7. C

    Movie gani ya mahusiano, mapenzi imeshawahi kukufurahisha?

    Is not s love Story - Ya kihindi hii ni kali sana
  8. C

    Simulizi fupi yenye mafunzo: Kahaba

    Hii namba nikiipiga na mimi nitampata huyo Kahaba?
  9. C

    Mmiliki wa Africa swahili Tv na Africa swahili Fm ni mmoja?

    Africa swahili Tv ipo chini ya Kampuni ya AFRICA SWAHILI MEDIA ambayo inamiliki Africa Swahili Tv ambayo ipo Dar Sinza Mori katika Jengo la Delina na Africa Swahili Radio ambayo ipo Morogoro katika jengo la nssf, Mmiliki wake ni Mfanyabiashara Davis Mosha
  10. C

    Ni rahisi sana kujifunza Kifaransa

    Mimi ninayo namba ya huyo Demu
Back
Top Bottom