Good Father
JF-Expert Member
- Feb 28, 2014
- 10,320
- 18,599
Hadithi nzuri sana nimejifunza mengi
Hongera mtunzi
Hongera mtunzi
sawa mkuu tupo pamoja
Nadhani alikuwa anampenda ndo maana pamoja na kuchepuka lakn hajawai lala nje ya nyumba yakeila jamaa hakua na jinsi.yule mkewe mama careen aka mama kumben a sio kbisa.me mke kama huyo ningekua nshamuachia nyumba na kila kitu aiseee.inataka moyo mwanamke anakupiga na mwiko adi unaanguka chini bado unasema kaka tuvumilie ndoa zetu!!!??u cnt be serious!
Hahahahah wewe kibokoo sio Ku achana na mpango wa kandoNimejifunza kuwa ukiwa na mpango wa kando lazima umjue kiundani sana kabla mambo haijaharibika pia wasichangie hata kabila na wife. Cha pili, nitahakikidha nawajua ndugu wa kike wa karibu na mke wangu ili nisije changanya mambo.
Hats Mimi nimedindisha kweli uanaume raha[emoji3]Duuuuu mpaka nimedindisha asee khaaaa