Recent content by Brigadia

  1. B

    Ipi feni (Panga boy) imara?

    Wakuu nataka kununua Panga Boy (feni) sita za saizi ya kati, lakini mimi sio mzoefu wa hivi vifaa. Vipi na zenyewe zina brands au aina? Na je ipi ni brand bora zaidi? Natanguliza shukurani.
  2. B

    Hivi inakuwaje mwanamke unakubali kuwa na lofa?

    Nakuhakikishia hutaolewa mpaka utazeeka hivyo hivyo
  3. B

    Meya Jaffary Mwanyemba wa Manispaa ya Dodoma avuliwa Umeya na Madiwani

    Lini tupige ya kutokuwa na imani na Bashite?
  4. B

    Vyakula, Sukari vyaanza kuadimika na kupanda bei

    Game supermarket ilikuwa 2100 na sasa ni 2450. Tabata ilikuwa 2500 na sasa ni 2600. Twafaaa
  5. B

    Msaada: Hivi vidonge sio ARV?

    Mkuu hapo hujaeleza kama ulitumia kondom au vp
  6. B

    Forbes: Ten richest African musicians 2017. Diamond yumo

    Chibu hatari. Wakimbize baba
  7. B

    The Big Match 2020: Magufuli VS Tundu Lissu

    Nasikitika tu kwamba Lissu atapoteza kila kitu. Ubunge atapoteza na Uraisi hatapata. Labda iwepo tume huru.
  8. B

    Rais Magufuli awashangaa Kagera: UKIMWI nyie, tetemeko nyie, mna mto unaitwa Ngono na Kijiji cha Katerero

    Mkuu nitapata wapi namba yake ya simu nimfowadie ujumbe huu huyu muheshimiwa
  9. B

    Rais Magufuli kuhutubia kutoka uwanja wa Kaitaba Bukoba

    Mbona kimya mpaka sasa?
  10. B

    Mchumba anahitajika

    [emoji106] [emoji817]
  11. B

    Mchumba anahitajika

    Na sijapata mtu bado
  12. B

    Mchumba anahitajika

    Kivipi?
  13. B

    Mchumba anahitajika

    Mkuu unatafutwa sana. Kumbe upo
  14. B

    Anayewajua vizuri Radar Recruitment

    Na mimi nasubiri jibu hapa
Back
Top Bottom