Mulangira nipo. Upinzani si uhuni. Ni kutoa hoja nzito, za kweli, za kisheria, ubinadamu, utu , heshima ukawafikirisha watu tofauti na walivyozoea, wkabadilika. Si matusi hata kidogo. Ningelikuwa BK nisingelikwenda kumsikiliza. Hilo sio tusi.mmmh! Tarairota Mlangila wangu! waguma! unajua tunapishana malezi. Hata kama ni masuala ya upinzani lakini bado JPM atakuwa ni mkubwa kwa umri kwa MKWEPA KODI (japo simjui). si umeona alivyonijibu: