Ahsanten sana nyote mlochangia, hizi quotation huwa zinaniongezea sana uwezo wa kufikiri,, MUGABE ana quotation zenye ukali wa maneno lakini ni KUNTU SANA
ka nmelewa swali basi najibu ka ifuatvyo ka sjaelewa nako watakuja wengne 1.price discrimination by age 2.by gographical location 3.by sex 4.by status 5.time etc
YABUUU YABUUU YABUUU tunataka ma GREAT THINKER KA WE sio tuna tatzo people end blaming instead of giving the ways forward, idea yko nataman Wenye dhamana WAIPATE AU IWAFIKIE
Hahaaaaaa members huwa mnanikosha xn kumbe wanatania ? kutuajiri hawataki sa ntarudshaje ukzngatia deni halifungi ata wakitukamata magereza hayatoshi ,saiv baada y kustisha ajira najiajiri na deni wanidaidai mana na wao ulkuwa uk sign unapaga baada ya mwezi Enzymes
Nina dought kuwa katoa damu litre 1? wakati binadamu ana jumla litre 5 ka kumbukumbu zangu zipo sawa 7b nshawah changia na madaktari hawaruhusu kias ka hicho
Hongeren sana kukomboleka kifikra kupitia vitabu m pia ni mmja wenu ,,ni dhahiri umekomboleka naona una uwezo wa Ku recognize and appreciate especially kwa rafiki yko pistmshai
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.