You know an African is about to finish bathing when you hear them blowing out their nose loudly like
*mfweeeeeh! mfweeeeeh! R MUGABE
hiyo quote ya puttin imenifungia wikend''To forgive terrorists it's up to God, but to send them to him it's up to me'' -Vladimir Putin.
''If you want to shine like sun, first you have to burn like it'' -Adolf Hitler.
''Instead of wiping away your tears, wipe away the people who created them-Hitler.
You know an African is about to finish bathing when you hear them blowing out their nose loudly like
*mfweeeeeh! mfweeeeeh! R MUGABE
Baada ya kusema hivyo akiwalenga waasi wa Syria,....hadi Westerners waliingiwa na wasiwasi.hiyo quote ya puttin imenifungia wikend
Anataka shule za advance ziwe tupu kwa watu kuhofia kufuata matokeo, hakutakuwa na wasomi zaidi ya form 4Rais Magufuli Pombe,
Kidato cha nne watakuwa wanafuata matokeo mahakamani
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Akiwa mkoani Simiyu Katika hotuba yake amesema kwamba wahitimu wa kidato cha nne watakuwa wanaenda kuangalia matokeo mahakamani.
"Napenda kuwaambia wahitimu wote wa kidato cha nne kuwa hawatapata matokeo yao yakwenda kidato cha tano njia ya mitandao kupitia internet au njia yoyote ile. Mhitimu anatakiwa kufika mahakama yoyote iliyo karibu naye akiwa na namba yake ya mtihani, mahakamani watatumia namba ile kutafuta matokeo yake, kama amefaulu atarudi nyumbani kwa amani na kusubiria utaratibu utakaofuata. Na kama atakuwa amefeli, mahakama inajukumu la kumweka ndani, kwakuwa ni mbadhirifu wa mali za serikali, na ataeleza zaidi hizo fedha za serikali alizipeleka wapi" - by JPM 12/01/2017 Shinyanga, Tanzania