Civivs ndio kitu gani?Utakuta dume zima linasomea kufundisha History au Civivs, bora uache tu
Hellow wana jamvi mimi ni mwanafunzi wa chuo kikuu kimoja hivi hapa nchini,Nipo mwaka wa pili sasa semester yangu ya tatu.Nasomea ualimu wa masomo ya Arts yaani HIstory na Geography.
Kiukweli niliamua kusomea ualimu kwa lengo la kupata ajira,kwani ukiangalia mimi ni mtoto wa maskini nimesoma shule ya kata, kimbilio langu lilikuwa ni ualimu ili niweze kuajiriwa nikomboe familia yangu.
Hivi juzi waziri wa elimu amesema srikali haitaajiri walimu wa masomoya sanaa, na nikiangalia mbele yangu kuna Batch kama tatu hivi ambazo zitasota mtaani, Sasa mimisitaki shida na kujipa presha ,hii ndo semester yangu ya mwisho ,nikifanya UE mazima sirudi tena chuo maana lengo langu limevurugika hata kama nikiendelea kusoma najipotezea muda tuu.
Malizia tu jamaa yangu kumbuka hii nchi sio yao peke yao
Hellow wana jamvi mimi ni mwanafunzi wa chuo kikuu kimoja hivi hapa nchini,Nipo mwaka wa pili sasa semester yangu ya tatu.Nasomea ualimu wa masomo ya Arts yaani HIstory na Geography.
Kiukweli niliamua kusomea ualimu kwa lengo la kupata ajira,kwani ukiangalia mimi ni mtoto wa maskini nimesoma shule ya kata, kimbilio langu lilikuwa ni ualimu ili niweze kuajiriwa nikomboe familia yangu.
Hivi juzi waziri wa elimu amesema srikali haitaajiri walimu wa masomoya sanaa, na nikiangalia mbele yangu kuna Batch kama tatu hivi ambazo zitasota mtaani, Sasa mimisitaki shida na kujipa presha ,hii ndo semester yangu ya mwisho ,nikifanya UE mazima sirudi tena chuo maana lengo langu limevurugika hata kama nikiendelea kusoma najipotezea muda tuu.
Nilisomea ualimu ili niajiriwe sio kujiajiri, sikujiandaa kujiajiri kupitia ualimu,
Sitaki shida na ndalichako, sitaki shida na magufuli, Narudi zangu kijini waridhike wao, maana furaha yao ni kuona vijana tunaangaika mtaani.
NB:jueni kwamba asilia kubwa ya vijana wanaokimbilia kusomea ualimu ni watoto wa maskini
Kwani hapa panazungumziwa kufuta masomo ya sanaa au kufutwa ajira kwa walimu wa Sanaa!!!
Acha..jifanye kichaa tu uje ona balaa lake..Hellow wana jamvi mimi ni mwanafunzi wa chuo kikuu kimoja hivi hapa nchini,Nipo mwaka wa pili sasa semester yangu ya tatu.Nasomea ualimu wa masomo ya Arts yaani HIstory na Geography.
Kiukweli niliamua kusomea ualimu kwa lengo la kupata ajira,kwani ukiangalia mimi ni mtoto wa maskini nimesoma shule ya kata, kimbilio langu lilikuwa ni ualimu ili niweze kuajiriwa nikomboe familia yangu.
Hivi juzi waziri wa elimu amesema srikali haitaajiri walimu wa masomoya sanaa, na nikiangalia mbele yangu kuna Batch kama tatu hivi ambazo zitasota mtaani, Sasa mimisitaki shida na kujipa presha ,hii ndo semester yangu ya mwisho ,nikifanya UE mazima sirudi tena chuo maana lengo langu limevurugika hata kama nikiendelea kusoma najipotezea muda tuu.
Nilisomea ualimu ili niajiriwe sio kujiajiri, sikujiandaa kujiajiri kupitia ualimu,
Sitaki shida na ndalichako, sitaki shida na magufuli, Narudi zangu kijini waridhike wao, maana furaha yao ni kuona vijana tunaangaika mtaani.
NB:jueni kwamba asilia kubwa ya vijana wanaokimbilia kusomea ualimu ni watoto wa maskini
Wacha ujinga dogo embu kasome huko..kwanza sijuu JF wafanya nini now badala ya kwenda kusoma..Hellow wana jamvi mimi ni mwanafunzi wa chuo kikuu kimoja hivi hapa nchini,Nipo mwaka wa pili sasa semester yangu ya tatu.Nasomea ualimu wa masomo ya Arts yaani HIstory na Geography.
Kiukweli niliamua kusomea ualimu kwa lengo la kupata ajira,kwani ukiangalia mimi ni mtoto wa maskini nimesoma shule ya kata, kimbilio langu lilikuwa ni ualimu ili niweze kuajiriwa nikomboe familia yangu.
Hivi juzi waziri wa elimu amesema srikali haitaajiri walimu wa masomoya sanaa, na nikiangalia mbele yangu kuna Batch kama tatu hivi ambazo zitasota mtaani, Sasa mimisitaki shida na kujipa presha ,hii ndo semester yangu ya mwisho ,nikifanya UE mazima sirudi tena chuo maana lengo langu limevurugika hata kama nikiendelea kusoma najipotezea muda tuu.
Nilisomea ualimu ili niajiriwe sio kujiajiri, sikujiandaa kujiajiri kupitia ualimu,
Sitaki shida na ndalichako, sitaki shida na magufuli, Narudi zangu kijini waridhike wao, maana furaha yao ni kuona vijana tunaangaika mtaani.
NB:jueni kwamba asilia kubwa ya vijana wanaokimbilia kusomea ualimu ni watoto wa maskini
Haaaa haaaaa ....atakuwa mziba huyu! Huwa wana karoho flani hivi amazing!Never, kwani hii serikali ni ya milele, itakuja ingine wataajiliwa. Usimpotoshe. Ndio maana Bukoba elimu inarudi nyuma. Kwenu wapi? Kanyigo? Kiziba? Nshamba?
Kiuandishi hamna tofauti.Dah....kiukwel inauma na inaker san sasa na ss wenye certificat za ualimu tutishia wap jmn mbn maish yashatupig bao jmn ,,,,najut kwnn nmesom maan ctakuw tofaut na amby ajasom kbx ,,,,.