Mkubwa unaonekana unapenda kweli ligi za kidini, hivi unaelewa ile misamaha haikuwa kwa wakristu tu? Hivi unajua hata taasisi za kiislamu zinanufaika na misamaha hiyo? Unajua hata taasisi za kina Agakhan zinanufaika? Inabidi tufike mahali tukisikia kitu tujaribu kukiangalia in 3 dimensions...
Mnamkumbuka mzee Dastan aliyekuwa anavaa nguo fulani za kijani? mi hadi leo hata sijui alikuwa anafanyakazi gani yule mzee! Afande Warioba je? Na Afande Peter!
Issue kwangu ilikuwa kwenye kuoga! nacheza kutwa nzima ikifika jioni ndio mtihani sasa, unakuta maza anakusubiri mlangoni ukiingia tu unaambiwa nyoosha bafuni, mzee unapiga passport size unatoka, maza aliponishtukia ikawa ananikagua ukitoka bafuni kwanza ngozi ya ndani ya sikio inaguswa kama...
Nadhani ni madhara ya bangi, na kwa jinsi navyomsoma marehemu na maisha yake yanavyoonekana ingekuwa ngumu sana kukaa na mvuta bangi.........hakika ni hasara kwa jamii, taifa na familia yakina Bertha, Mungu masamehe dhambi zake dada Bertha na amrehemu, ila huyo bwana SIMUONEI huruma hata chembe!
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.