Fidel80
JF-Expert Member
- May 3, 2008
- 21,947
- 4,444
mshkaji AMEKUFA!
Duh bora kafa nae.
Maana angejuta lakini imradi nae kafa ameshinda mkono wa sheria duniani sasa yupo kupambana na haki mbinguni.
mshkaji AMEKUFA!
Mpuuzi huyo.....dunia hii unagombea shori? wamejaa jolly ni kujisevia tu......hehehe mkuu ndo maana mimi nahit na kurun tu maswala ya kufall in love noma mzee angalia sasa jamaa anakalia debe atajuuta kupenda. Hapo mpaka kesi yake ianze kusikilizwa ni kama baada ya miaka 2 atajuuta.
Mpuuzi huyo.....dunia hii unagombea shori? wamejaa jolly ni kujisevia tu......
.....ukimegewa demu wako na wewe tafuta mnyonge mmegee...
hehehehe kama Jolly bei anaenda kwa wale akina mama wa Kagera wapo wengi sana pale Mwananyamala na Buguruni maeneo ya Kigoma guest house bei chee 2000/= unapewa huduma safi pesa hiyo hiyo gharama ya chumba na condom na tissue.
hehehe mkuu ndo maana mimi nahit na kurun tu maswala ya kufall in love noma mzee angalia sasa jamaa anakalia debe atajuuta kupenda. Hapo mpaka kesi yake ianze kusikilizwa ni kama baada ya miaka 2 atajuuta.
Mpuuzi huyo.....dunia hii unagombea shori? wamejaa jolly ni kujisevia tu......
.....ukimegewa demu wako na wewe tafuta mnyonge mmegee...
Duh kaka mpaka hiyo?
Kweli kabisa komredi. Maswala ya kumdondokea mtu yana madhara mengi sana. Ni bora mtu uwe single....ukipata wa kumega unammega halafu unasepa
.com
hehehe mm kaka ndo maana wanawake iwa wananiambia ati sijui kupenda aah unaweza ua mtu bure unagharamia alafu shori anakupiga chini inauma...hii ya kuhit na kurun ndo yenyewe naipenda sana.
tatizo lako wewe Mwana ni Tomaso sana iwa huniamini kabisa.
Haya nenda kule habari mchanganyiko tuwasaidie ndugu zetu wa Mbagala.
Hapana kaka sio hivyo. Mie nimeuliza kwa kuwa it seems wewe mzoefu coz that is a very small thing kukumbuka baada ya kupagawishwa na mauno ya kina yakhee!! Joke
Mpuuzi huyo.....dunia hii unagombea shori? wamejaa jolly ni kujisevia tu......
.....ukimegewa demu wako na wewe tafuta mnyonge mmegee...
hehehe Bila utafiti huna haki ya kuongea upo hapo?
Haya twende kule tukasaidia wenzetu wa Mbagala.
Pole kwa sababu hujiamini..com
hehehe mm kaka ndo maana wanawake iwa wananiambia ati sijui kupenda aah unaweza ua mtu bure unagharamia alafu shori anakupiga chini inauma...hii ya kuhit na kurun ndo yenyewe naipenda sana.
Msidanganyane, na wala sio eti na msupport huyo kaka, hii nadhani ilikuwa ni maswala ya kipenda roho, hula nyama mbichi. Maana hata yeye alijua tosha hatoweza kumpata tena toto zuri, mcha Mungu na mwenye tabia nzuri tena...nadhani alijua tosha angeweza kwenda Jolly nakuokota ila aliona hayo sio maisha. Sema tuu uamuzi aliochukua ulikuwa si mzuri, angejirudi nakujikangua mienendo yake na kuirekebisha. Kisha amuombe Mungu wake ampe tena kama yule aliyekuwa naye (R.I.P Bertha). Muache kupotoshana wanaume, tumieni akili alizowapa Mungu wenu katika kupambanua mambo, sio kiholela kama awazavyo huyo ndugu hapo juu na wengine waliotangulia. Mbarikiwege sana.Shem kwa kweli jamaa hamnazo, kitendo cha kutumia kisu kumchana chana huyo dada hakuna sababu inayoweza kukubalika....! Demu akiamua kuruka na njemba nyingine shega tu...dawa yake unamjibu kwa demu mkali zaidi yake...lazima heshima irudi....Maisha yangeendelea kama kawaida.
Jamaa anakaa mabibo Hostel kule mademu hawana gharama na ni wakali ile mbaya...Yo Yo usiende huko! Ila sasa atajuta maisha yake yote na ujanja wa kufikiri akitumia m.b.o.........!