Mazuri ya Edward Lowassa

Mazuri ya Edward Lowassa

Idimi, naanza kuingiwa na wasiwasi kwamba Mtade_Halisi na Pope ni mtu mmoja, na pengine kama si hivyo, ni watu waliojiunga JF jana kwa ajili ya kazi ya kumsafisha Edo. Just try to read between the lines.

Tunaelezwa kuna Agenda 21...a group specifically built to ascend someone back into power. Na inasadikika kuna vyombo vya habari au waandishi wamehongwa ili kumshafisha Edo. Is JF now being used for the purpose?

Nakubaliana na wewe kwa kila hali, kwamba huenda naye ni wale walinunuliwa hivi juzi ili kusafisha jina lake, ndio maana nikampa reference kijana mgeni Mtade kwamba aangalie hizo threads nilizomwelekeza ili ajue Lowassa tunayemuongelea ni yupi, huenda kuna Lowassa mwingine anayemfahamu! Lowassa tunayemfahamu sisi ni yule ambaye alikataliwa na Mwalimu kugombea nafasi za juu kule sisiemu mnamo mwaka 1995, na kwa taarifa yake hajabadilika kabisaaaaaaa!
Hapa haonewi wala haogopwi mtu!
 
Idimi, naanza kuingiwa na wasiwasi kwamba Mtade_Halisi na Pope ni mtu mmoja, na pengine kama si hivyo, ni watu waliojiunga JF jana kwa ajili ya kazi ya kumsafisha Edo. Just try to read between the lines.

Tunaelezwa kuna Agenda 21...a group specifically built to ascend someone back into power. Na inasadikika kuna vyombo vya habari au waandishi wamehongwa ili kumshafisha Edo. Is JF now being used for the purpose?

ANGALIA AVATAR ANAYOTUMIA INAONGEA ALL. ni mtandao mpya huu umeundwa kuhakikisha el anarudi ktk ulingo baada ya nokauti aliyopigwa na bunge.
Wanabodi angalieni watu hawa na hapa hatutaki propaganda, tunataka ukweli halisi na tunataka mtu anayeongea points na siyo kung'ang'ania monong'ono ya mitaani. Hivyo Pope na Mtade wanapaswa kufanya homewrok ya kusoma threads za tangu mwanzo wa mwezi huu kisha watajua how to talk and post positively.
 
lowassa ameshachelewa saana kujisafisha kwa kuwa alishachafuka tangu zamani,baba wa taifa hakuwa mjinga kwa kumwengua lowassa
na wenye kumbukumbu watakumbuka wakati lowassa alivyokuwa waziri wa ardhi kwa jinsi ulivyoushughulikia mgogoro wa ardhi kati ya nursery ta wahindi na kampuni ya cmc motors,kuna ushahidi tosha kuwa lowassa alipewa gari(discovery)na mkurugenzi wa cmc(abdul)na alikuwa upande wa cmc mpaka wahindi walipoamua kwenda mahakamani na kupata haki yao!
hivyo tusikae na kuendelea kumsafisha mtu ambae alishachafuka kwa uroho wake wa kusaka mali kwa njia zisizo halali!
 
Ok Yote Tisa Haya Mimi Naomba Profile Ya Mbunge Samueli Chitalilo Maana Ukishakuwa Mbunge Unaweza Kuukwaa Uwaziri Wakati Wowote
 
TUKUBALIANE KUWA NCHI YETU INAENDESHWA KIIMLA KWA HIYO MTU YEYOTE ANAWEZA KUWA MTAWALA NDIYO MAANA MPAKA LEO TUNAAGIZA JUISI YA KUNYWA SOUTH AFRICA NA WAKATI HUO HUO ETI TUNA WIZARA YA VIWANDA NA BIASHARA NA HAPO HAPO TUNA MAPROF KIBAO HAPO MLIMANI "uhadithi huu"
 
displayimage.php

Ndugu wanaJF baada ya Lowassa kujieleza hapo jana na kujaribu kujitetea kwa pointless hebu tumjadili......

WADAU WENYE DATA ZAKE MBALIMBALI WASILISHENI HOJA

Please read this
THE Speaker of the National Assembly, Samwel Sitta, has instructed the Parliamentary Privileges, Ethics and Powers Committee to take action against the ongoing media offensive attempting to discredit the Richmond report findings and bring the entire House proceedings into disrepute.

Sitta said he has already formally directed the committee to study all comments made by various individuals against the report tabled by the parliamentary probe committee on the Richmond affair, to establish if any of them is in contempt of parliament.

He said it was against the law for anyone to ’disrespect’ parliamentary proceedings, saying people with misgivings against anything to do with the House ? including probe committee findings ? should formally present their grievances to the National Assembly in writing for any action to be taken.

’’Those who feel they have been unjustly treated by a parliamentary committee should present their complaints to the Office of the Speaker. It is wrong for anybody to take their grumblings to the media,’’ he asserted

’’If for example Lowassa had something to say regarding the Richmond report, he could and should have said it during the debate session in parliament - not at a public rally,’’ he said

That is the end of story,stop glamourising jamani MMERU wetu...amekwisha..finito
 
kuanza kumjadili edo masai ni kupoteza muda ambao tunaweza kuutumia kumburuza kortini...
na nawaomba wabongo wenzangu siku ya kusikilzwa kesi wa TZ woote ikiwezekana tuibuke kortini.
 
1. Hajatuhumiwa kwa kosa lolote lile (la ufisadi)
2. Hajashtakiwa kwa kosa lolote lile (la ufisadi)
3. Hajahukumiwa na kupatikana na hatia yoyote ile (ya ufisadi).

Nimeisema hii hapa JF leo tarehe 12 julai 2009.
 
Mimi siwezi kuhukumu kwa lolote.

Lakini nam-miss sana kama waziri mkuu, nadhani tulikuwa bado tunamuhitaji, hizi siasa zetu ambazo si hasa... ndizo zinaiponza nchi yetu.
 
Na kwa utawala wa Sultani CCM hivi unategemea aliefikia Cheo Cha Waziri mkuu kushitakiwa au kutuhumiwa ? Hao mawaziri tu kesi zinapigwa danadana ,majalada yanapakiwa kwenye baiskeli yakienda huku na kule ,mara unaambiwa lipo polisi mara lipo mahakamani mara halijakabidhiwa mwisho unaambiwa ushahidi hautoshi sasa subiri mahakama itupilie mbali kesi hiyo kwa kukosekana ushahidi ,mahakama ina muda wake ukitimia tu ndio imetoka.
 
Mimi siwezi kuhukumu kwa lolote.

Lakini nam-miss sana kama waziri mkuu, nadhani tulikuwa bado tunamuhitaji, hizi siasa zetu ambazo si hasa... ndizo zinaiponza nchi yetu.

Bado JK anaweza kujirudi na kumrudisha Lowasa kwenye uwaziri mkuu. Tanzania inahitaji watu kama Lowasa.
 
Na kwa utawala wa Sultani CCM hivi unategemea aliefikia Cheo Cha Waziri mkuu kushitakiwa au kutuhumiwa ? Hao mawaziri tu kesi zinapigwa danadana ,majalada yanapakiwa kwenye baiskeli yakienda huku na kule ,mara unaambiwa lipo polisi mara lipo mahakamani mara halijakabidhiwa mwisho unaambiwa ushahidi hautoshi sasa subiri mahakama itupilie mbali kesi hiyo kwa kukosekana ushahidi ,mahakama ina muda wake ukitimia tu ndio imetoka.

Mwiba,

Ina maana unataka kusema kuwa Lowasa naye ni sultani? hii unaivuta zaidi!
 
1. Hajatuhumiwa kwa kosa lolote lile (la ufisadi)
2. Hajashtakiwa kwa kosa lolote lile (la ufisadi)
3. Hajahukumiwa na kupatikana na hatia yoyote ile (ya ufisadi).

Nimeisema hii hapa JF leo tarehe 12 julai 2009.


Ufisadi siyo tuhuma, ufisadi siyo maneno, ufisadi ni vitendo!
 
Mwiba,

Ina maana unataka kusema kuwa Lowasa naye ni sultani? hii unaivuta zaidi!
Ni mfuasi wa Sultani CCM ,mtawaala alietawala na bado anatawala kwa zaidi ya miaka 45 ,hivi utawapa cheo gani watu hawa na Chama Chao ,kama si usulutani. Na hawa hawaondoki kwa kura ,hivi umesikia wapi Sultani akaondolewa kwa karatasi za kupigia kura ,jawabu hakuna ,kinachowaondoa watu wa aina hii ni mapinduzi ya kijeshi au nguvu za umma na hilo linafikia pale ambapo walio wengi wechachoka na matatizo na shida za maisha na tunako elekea si mbali sana ,ikiwa sasa Sultani amefikia kutumia vyombo vya dola kubaki madarakani kwa miaka ijayo basi ujue mambo yanamwendea vigumu.
Akioza samaki mmoja wameoza wote.Lowasa nae yumo.
 
Ni mfuasi wa Sultani CCM ,mtawaala alietawala na bado anatawala kwa zaidi ya miaka 45 ,hivi utawapa cheo gani watu hawa na Chama Chao ,kama si usulutani. Na hawa hawaondoki kwa kura ,hivi umesikia wapi Sultani akaondolewa kwa karatasi za kupigia kura ,jawabu hakuna ,kinachowaondoa watu wa aina hii ni mapinduzi ya kijeshi au nguvu za umma na hilo linafikia pale ambapo walio wengi wechachoka na matatizo na shida za maisha na tunako elekea si mbali sana ,ikiwa sasa Sultani amefikia kutumia vyombo vya dola kubaki madarakani kwa miaka ijayo basi ujue mambo yanamwendea vigumu.
Akioza samaki mmoja wameoza wote.Lowasa nae yumo.

Una hakika kuwa hao wanamapinduzi wanaotakiwa kumuondoa Sultani toka madarakani na wao sio masultani wadogo?
 
1. Hajatuhumiwa kwa kosa lolote lile (la ufisadi)
2. Hajashtakiwa kwa kosa lolote lile (la ufisadi)
3. Hajahukumiwa na kupatikana na hatia yoyote ile (ya ufisadi).

Nimeisema hii hapa JF leo tarehe 12 julai 2009.

1.Lowassa kasha tuhumiwa. Kwani wewe kwako kutuhumiwa ni nini? Shutuma si zipo? Hadi Nyerere alimuita mwizi kwa hiyo mpaka hapo shutuma ilikuwepo. Au kwako shutuma inakuaje?

2.You should know by now siasa za Africa ni kulindana. Ni viongozi wachache sana wakuu wa nchi wanaoshitakiwa.

3.Kesi haijaenda mahakamani. Sababu rejea namba mbili.
 
Back
Top Bottom