Wenyeji wavamia shamba la Aga Khan University aka A.K.U (zamani Manyara Estate, Kisongo) na kuwasha moto MKUBWAA. Wakazi wa jirani wanadai kuwa uvamizi huo ni kwasababu ya kunyimwa eneo la kulishia mifugo yao ndani ya shamba hilo. Habari zingine ntaziupdate kesho!!
mmmhh!saaafi saaaana!!mi najitayarisha kufanya mitiani ya masters kwa kutumia mishumaa!afadhali umekatika taifa ikiwa inawaangalia..kama hamna hata mmoja atakuwa amesikia aibu kwa kitendo hicho..itakuwa ni noma..
Uongozi wa wanafunzi vyuoni 'kupoteza kiaina' fedha iliyokusanywa na wanafunzi ili kukidhi mahitaji yao kwa kipindi waliokuwa vyuoni bila wanafunzi wenyewe kujua imetumikaje,NA statements zikionyesha wazi kabisa kwamba fedha hizo 'zimeliwa kiujanja',je hatua gani zinatakiwa zichukuliwe kisheria?
kuna siku nilikuwa maeneo ya shopryt arusha..sikuamini nilichokiona mbele ya macho yangu..kwanza nilivyoskia huo mziki nkadhani ni matangazo ya triple 'a' club kwenye fuso lao la matangazo.la hasha,lilikuwa ni promotion fuso ya mzee davi,likiwa na mabinti kama wanne hivi wamevishwa vi skintyt...
Ahsante kwa kutupa mwanga kuhusu utendaji wa ABG.
ningependa kujua yafuatayo:
1.annual amount of extraction ya financial year 2010-11
2.quantity of exportation and its value,
3.TAX RATE wanayotozwa na serikali.
4.Selling price huko nje.
wanaJF,mnahabari yeyote kuhusu hatua zinazochukuliwa na china kuhusu mtu kutuhumiwa kwa rushwa?
Sheria nyingi hutungwa kwa kuchukua sheria zilizowekwa nchi zingine,mi naona haitakuwa mbaya hiyo china ikawekewa maanani na kujumlishwa ndani za sheria zetu.
Atleast some action is being taken..i can finally feel the hope that when i come to enter the real business world,people will be afraid to be involved in corruption..i think it'll be nice if the rest of the world superpowers to take such measures too..
i'm hoping to hear some really good news...
Marehemu mama alinihadithia kwamba alifanya mtihani wake wa form 4 kwa kutumia mshumaa..leo hii,niko chuo,2011,nina mitihani ndan ya mwezi,niko nasoma na mshumaa..inaezekana hata watoto wangu wakaja soma na mshumaa miaka 20 zijazo..haaya bana..
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.