kilimasera
JF-Expert Member
- Dec 2, 2009
- 3,068
- 268
hivi akijaondoka tutakuja pata tena kweli mtu kama huyu???kweli jamaa ana akili sana
Last edited by a moderator:
Kichwa gani. Kuwa wazi ili tuchangie
Kichwa gani. Kuwa wazi ili tuchangie
Nashukuru kwa taarifa mkuu,anaongelea bajeti
Tupo pamoja sana, nami nimekimbia fasta nione anaongelea niniThanx, nimekwenda fasta nimemkuta President wa watanzania.
Endelea kumchekinamfatilia kwa umakini raisi wangu..