Bijou
JF-Expert Member
- Feb 25, 2011
- 1,219
- 335
Mkoa wa Tabora ni chimbuko la uhuru wa nchi ya Tanganyika kwa wakati huo, lakini imekubuhu na matatizo lukuki, train ya kusuasua, barabara ni za tope hakuna lami inayounganisha mkoa huu (shame).
Kimbilio la dharura lilikuwa ndege, ATCL iliingia mitini, ikabaki precision, nayo imeacha kutua kwa miezi kadhaa kwani uwanja ule wa tope haujakarabatiwa. Jamani wana Tabora, wabunge wanafanya nini kusaidia maendeleo ya mkoa wa tabora?
Inauma sana
Kimbilio la dharura lilikuwa ndege, ATCL iliingia mitini, ikabaki precision, nayo imeacha kutua kwa miezi kadhaa kwani uwanja ule wa tope haujakarabatiwa. Jamani wana Tabora, wabunge wanafanya nini kusaidia maendeleo ya mkoa wa tabora?
Inauma sana