chipanga
JF-Expert Member
- Sep 17, 2010
- 712
- 444
..so now he is a born again christian! huyu hana sifa ya utu achilia mbali uongozi, hafai huyu hata kdg, watu wanamuona km kiongozi makini kwa kuangalia zile issue ambazo alizisimamia zikamature, lakini ukweli ni kwamba alikuwa anasimamia issue ambazo ana maslahi nazo, ni mtu wa deal ile mbaya. Dont get twisted, Lowassa ni hatari zaidi ya hatari!kwa nini asingeenda tu loliondo kwa babu akapata kikombe .. lakini lowasa ukiacha ile kashfa ya ufisadi lowasa ni mtu makini katika uongozi....