Hivi tunawezaje kuishi kwa matumizi yafuatayo kila mwezi? Fikiri; Matumizi nyumbani; chakula, umeme, gesi, maji, soda/juisi za wageni.Ada za watoto zinazolingana na za chuo kikuu Matibabu hospitalini,pesa ya walinzi kwamwezi, sherehe za kuaga na kukaribisha mwaka mpya, Zaka ya kanisani na...