Jamani mimi ni mama ambaye nimempatia kijana wangu anifanyie biashara ya mpesa tangu july mwaka huu sijakutana na shida leo hii ninapigiwa simu kutoka nyumbani wananiambia wamepeleka kuweka hela (float) happy mvungi asubuhi ya leo. Cashier alipoweka hela kwenye machine akakuta laki nne na nusu ni feki. Transaction ilifanyika jana tu mchana mtu alikuja kuweka binti akaja akaniambia nimepokea hela na float sasa imekwisha. Swali la kwanza nilimuuliza ume zi check hela vizuri?
Akasema ndio kumbe zile hela alipewa feki
hatua gani nimechukuwa?
1. Watu kuile nyumbani walipiga simu vodacom na wakaelezea kisha vodacom wakasema huyo mtu ameishakuwa hizo hela ila wakasema wameisha block namba yake. Je hiyo kweli inasadia?
Mimi nikawaambia kum block haisadii kitu maana si atafungua namba nyingine?
Sasa naomba ushauri nifanyeje kwa sasa?
Kwa sasa nimejifunza kwamba natakiwa kuwa na machine ya ku chek hela kama ni halali au la
asanteni
Akasema ndio kumbe zile hela alipewa feki
hatua gani nimechukuwa?
1. Watu kuile nyumbani walipiga simu vodacom na wakaelezea kisha vodacom wakasema huyo mtu ameishakuwa hizo hela ila wakasema wameisha block namba yake. Je hiyo kweli inasadia?
Mimi nikawaambia kum block haisadii kitu maana si atafungua namba nyingine?
Sasa naomba ushauri nifanyeje kwa sasa?
Kwa sasa nimejifunza kwamba natakiwa kuwa na machine ya ku chek hela kama ni halali au la
asanteni