PrN-kazi
JF-Expert Member
- Feb 5, 2011
- 2,900
- 444
duh! so sad.Mwanajeshi mmoja kafariki papo hapo, dereva wa daladala kakatika miguu, na wanajeshi wengine wamejeruhiwa vibaya.
Sababu ya ajali ni kutanua kwa daladala iliyokuwa ikitokea Kawe na kugongana uso kwa uso na Landrover ya jeshi.
Injini ya Landrover imezama kiasi cha kuvivunja vunja viti vya mbele yaani dereva na abiria wa kushoto yake.
Source: Bonge wa PB