Tamko fupi la Jumuiya ya Madaktari - Juni 28, 2012

Wazushi tu nyinyi ..nyinyi mnadai fedha sasa mnakuja na uboreshaji wa afya .tumewachoka sasa msifikiri sisi wananchi tuko pamoja nanyi wauaji wakubwa ambao mumeweka fedha mbele... tumewachoka kama mmeshindwa kufanya kazi serikali nende mkaazishe zahanati zenu..... hongera serikali asiyetaka kazi fukuzeni tu tujue moja hatuna hawa binadamu wapenda fedha badala ya utu kwanza. mana madai yenu ya msingi mumetekelezewa lakini bado tu sijui mnawatakia nini watz... mengine mumeambiwa yatatekelezwa huko mbeleni kama uwezo ukiwepo lakini bado tu..ni haki kusema anajambo lenu nyuma


Come on don't make yourself look stupid haya hapa chini si madai ya msingi kwako ...???!

Madaktari tumechoka kuona huduma za afya nchini zikizidi kudorora mwaka hadi mwaka
Tumechoka kuona wagonjwa wakilala chini na watoto wakilala wanne katika kitanda kimoja

Tumechoka kuona msongamano mkubwa kwa wagonjwa katika hospitali zetu huku kukiwa hakuna mpango wowote wa uboreshaji.

Tumechoka kuona wagonjwa wakikosa dawa, vipimo sahihi na watumishi wa afya wakifanya kazi katika mazingira magumu yanayoviza ubora wa huduma na misingi ya taaluma.



unadhani yalitelekezwa..??? ulikwenda kutembelea hospitali baada ya muafaka wa ule mgomo wa kwanza na kukuta madai ya msingi yametelekezwa .. kwanini bajeti ya wizara ya afya wameishusha ..?! kwama kweli serikali ilikuwa na nia ya kutatua hayo mambo ...! tuweke siasa pembeni na kushirikisha ubongo wakati mwengine

 
Wazushi tu nyinyi ..nyinyi mnadai fedha sasa mnakuja na uboreshaji wa afya .tumewachoka sasa msifikiri sisi wananchi tuko pamoja nanyi wauaji wakubwa ambao mumeweka fedha mbele... tumewachoka kama mmeshindwa kufanya kazi serikali nende mkaazishe zahanati zenu..... hongera serikali asiyetaka kazi fukuzeni tu tujue moja hatuna hawa binadamu wapenda fedha badala ya utu kwanza. mana madai yenu ya msingi mumetekelezewa lakini bado tu sijui mnawatakia nini watz... mengine mumeambiwa yatatekelezwa huko mbeleni kama uwezo ukiwepo lakini bado tu..ni haki kusema anajambo lenu nyuma

YOu and Hengo has just demonstrated that u are in the payroll of Mr Mdhaifu, rest assured you'll forever remain "stupid and selfish bastards with 1kb brain memory size'
 
Katika ulimwengu huu wa utandawazi ni vizuri pia wasomi wajaribu kutafuta fursa hata nje ya nchi kwa kufanya hivyo demand yao ndani ya nchi itakuwa kubwa na automatically mishahara itapandishwa yenyewe kuliko kutumia njia ya migomo ambayo inaumiza walala hoi.
 
Yupo Mbunge mmoja alikurupuka, akidai madaktari wanatumika kisiasa, kuonyesha kuwa Tanzania haitawaliki

Si kweli, hakusema wala kudai wanatumika kisiasa. Rejea hansard za bunge usome kasema nini na ulete hapa habari za ukweli.
 
Wazushi tu nyinyi ..nyinyi mnadai fedha sasa mnakuja na uboreshaji wa afya .tumewachoka sasa msifikiri sisi wananchi tuko pamoja nanyi wauaji wakubwa ambao mumeweka fedha mbele... tumewachoka kama mmeshindwa kufanya kazi serikali nende mkaazishe zahanati zenu..... hongera serikali asiyetaka kazi fukuzeni tu tujue moja hatuna hawa binadamu wapenda fedha badala ya utu kwanza. mana madai yenu ya msingi mumetekelezewa lakini bado tu sijui mnawatakia nini watz... mengine mumeambiwa yatatekelezwa huko mbeleni kama uwezo ukiwepo lakini bado tu..ni haki kusema anajambo lenu nyuma

Usijadili hoja kwa sababu umetumwa kufanya hivyo kwani utaweza kamwe kureason...madaktari wanadai fedha zaidi zielekezwe katika huduma ya afya ikiwa ni pamoja na kuboreshwa maslahi yao.

Kwa sababu umejaa unafiki mkubwa na huenda unatibiwa kwa kadi Hindu Mandali au Burhani endelea tu kufanya dhihaka zao. Ukweli ni kwamba wangonjwa wengi hufa kwa kukosa huduma sahihi kutokana na ubovu wa vifaa na madawa etc.
 
Mbona katika madai ya madaktari kinacho tamkwa sana ni posho mbalimbali na mishahara?Kama kweli wanaumia kuon watanzania wakisongamana hospitalini mbona sasa wana waacha wana kufa bila kuonyesha jitihada za kuokoa maisha wagonjwa hao?Hu ni uzalendo au ubinafsi mbele?

Stupid!
 
Kama umekuwa unafuatilia huu mgogoro wa madaktari kwa karibu utakumbuka mambo yaliyojadiliwa kwenye mkutano wa Mh Pinda na Madaktari pale Muhumbili. Kwa kukumbusha tu madaktri walimwambia waziri mkuu haya:

1. Serikali sasa ipige marufuku kwa wagonjwa kulala chini
2. Serikali ihakikishe dawa muhimu zinakuwepo wakati wote (kumbuka ukosefu wa hizi dawa ndio unachangia vifo)
3. Watu wanaokufa (bila hata ya mgomo) ni wengi sana na hii ni kwa sababu hakuna dawa.
4. Madaktari kazi yetu ni kuokoa maisha ya mgonjwa, lakini tunashindwa kufanya hivyo kwa sababu hatuna dawa muhimu hivyo wagonjwa wanatufia, mnafikiri (serikali) sisi (madaktari) tuna mioyo ya chuma?

Nimejaribu kuweka summary ya vitu muhimu vilivyojadiliwa kwenye huo mkutano ili kuweka kumbukumbu sawa. Na kama una doubt yoyote, basi jiulize kwa nini wakubwa wamegeuza Muhimbili kuwa kituo cha daladala kabla hawajaenda India? Stephen Ngonyani (Prof Maji Marefu) leo ana ujasiri wa kutukana madaktari kwa sababu ni hivi majuzi tu karudi toka India. Hajaonya adha ya kulala chini sakafuni ukisali ili walau upate aspririn.

Kwa kifupi sekta ya afya sasa hivi hali ni mbaya mbaya sana. Mgomo wa madaktari ni jambo la kuhuzunisha lakini pengine litatusukuma sasa kama taifa kuangalia sekta hii muhimu inayohusu uhai wa raia. Serikali inaonekana kuwa na hela kwa mambo yake, magari, safari, posho, samadi kila mwaka, lakini linapokuja swala la madaktari serikali hiyo hiyo inalia umaskini. Kwa mtindo huu hatutafika.

Umesema vyema, tatizo hawa wenzetu wanaokula nchi wanafanya utani. Naona wameshikilia bango la propaganda za kisiasa, eti oooh chadema wanawachochea madaktari na walimu kugoma na upuuzi mwingine.

Kama Chadema wana ushawishi mkubwa kiasi hicho in maana serikali ya ccm haiungwi mkono na jamii ya watanzania. Sasa, ina uhalali gani wa kuendelea kuwapo madarakani??
 
  • Thanks
Reactions: FJM
Wazushi tu nyinyi ..nyinyi mnadai fedha sasa mnakuja na uboreshaji wa afya .tumewachoka sasa msifikiri sisi wananchi tuko pamoja nanyi wauaji wakubwa ambao mumeweka fedha mbele... tumewachoka kama mmeshindwa kufanya kazi serikali nende mkaazishe zahanati zenu..... hongera serikali asiyetaka kazi fukuzeni tu tujue moja hatuna hawa binadamu wapenda fedha badala ya utu kwanza. mana madai yenu ya msingi mumetekelezewa lakini bado tu sijui mnawatakia nini watz... mengine mumeambiwa yatatekelezwa huko mbeleni kama uwezo ukiwepo lakini bado tu..ni haki kusema anajambo lenu nyuma

"uwezo ukiwepo", hivi gloves, canulla, kitanda hospitali ni shilingi ngapi??? wakiamua sasa hivi kuuza mashangingi yote yanayotembea hapa mjini na kununua magari madogo second hand kwa viongozi kuzunguka zunguka hapa mjini watapata hela za mimi nawasapoti madaktari mpaka pale kutakapokuwa dawa hospitali, kutakapokuwa na canulla, gloves, mikasi, CT na mengineyo yoote yanayohusu hudumu kwa wananchi...baada ya hapo ndio naweza angalau kufungua mdomo na kusema chochote kuhusu madai yao ya mshahara. wilayani mnajenga zahanati sijui vituo vya afya ambavyo hakina vifaa au mtaka madaktari waende wakafanye kazi kule.. hakuna nyumba ya daktari, ataishi wapi??vijijini ndio kabisaaaa

hivi fundi anaweza kupewa mbao akaambiwa achonge fenicha bila nyundo, msumeno, gundi wala misumari?? anaweza akafanya "maarifa" ila fenicha itakayotoka hapo ni kichekesho na ndio zilivyo huduma humu mahospitalini...ze comedy tupu..nchi nzima hakuna CT ya serikali, aibu gani hiii!!!!

Huduma ya afya haiwezi kupatikana kama hakuna dawa wala vifaa wala madaktari, tukiendelea kufa wakati vifaa vya kufanyia kazi vipo, dawa zipo, hapo ndio tufikirie kulaumu madaktari kwamba hawafanyi kazi!
 
Si kweli, hakusema wala kudai wanatumika kisiasa. Rejea hansard za bunge usome kasema nini na ulete hapa habari za ukweli.

wewe ndiyo unatakiwa ulete alichosema. Mimi nimesema alisema madaktari wanapewa pesa na wanasiasa ili inekane hii nchi haitawaliki. wewe kama unalingine uje hapa acha kukurupuka zomba
 
Last edited by a moderator:
mwanzoni kilichokuwa kinasikika sana kwenye madai ya migomo yao ilikuwa ni mishahara kupanda na allawances sasa hv mambo yamekuwa magum mumeanza kuhusisha na matatizo ya wananchi ili mpate saport hamna lolote msemo wa mhe.pinda acha liwalo na liwe
kafie mbele huko
 
Mbona katika madai ya madaktari kinacho tamkwa sana ni posho mbalimbali na mishahara?Kama kweli wanaumia kuon watanzania wakisongamana hospitalini mbona sasa wana waacha wana kufa bila kuonyesha jitihada za kuokoa maisha wagonjwa hao?Hu ni uzalendo au ubinafsi mbele?

Utamsaidiaje mtu wakati huna uwezo?
 
Ingekuwa tunaiga mazuri kutoka kwa wenzetu kama hospitali za hadhi na usafi, mashule bora nk.
Lakin 2meiga kuwa na bunge zuri, msafara mzuri wa viongozi, masherehe makubwa ya kujipongeza, ndege kwa raisi, offisi zenye furniture qualty, kuteka waombaji haki nk..
Mungu 2saidie Tz..
 
TZ naona kila mtu amekuwa msanii na mwanasiasa, hili tamko la madaktari wanajifanya wanagoma kutetea wagonjwa wakati kikubwa wanadai pesa.
Madaktari hawa hawa ndo wamesababisha vifo au ulemavu wa kudumu kwa mamia ya waTZ kwa uzembe wao au kutojali kwao harafu leo wanaleta picha kuonyesha wako na wananchi, wengine ndo wezi wa dawa hospitalini.
Hii ni mchemko tu, ngojeni ndo mtajua madai yenu na jeuri yenu si chochote.

Mkuu kupigwa kwa Dr. Huyu kunasikitisha SANA namwaombea apone haraka, ila kuna kitu naona akija kaa sawa kwenye press release hapa, mbona wamegueza kibao TENA! Taifa letu lilielezwa kwamba mgomo huu unasababishwa na Madaktari kutolipwa mshahara mzuri na marupurupu and what have you, if my memories serves me right sikumbuki kama kusongamana kwa wagonjwa au wagonjwa kukosa madawa nk kilikuwa na priority kubwa KWAO!! Inakuwaje sasa hivi hio ndio inaonekane imepewa kipa UMBELE!!

Kwa nini mnatafuta sympathy kutoka kwa raia wakati nyinyi hamjali RAIA-tell me? Kama wangekuwa wanajali kikweli kweli Watanzania wenzao na kumuogopa Mungu saa hizi wangekuwa KAZINI huku wakiendelea kudai sitahiki zao, kwani kazi za mahakama ni nini; mbona kuna wafanyakazi wengi tu wenye madai kama ya kwenu lakini wanakua na UTU kwa kuendelea kujenga TAIFA na kuachia mahakama ifanye kazi zake za kutetea haki zao?

Watu wengi watanijibu humu wakizungumzia mambo ya SIASA zaidi badala ya Professionalism, tukumbuke kuna njia nyingi za kutaka/kudai mabadiliko lakini sio haya ya kuhua WATU.
 
Tamko lenu nimelipenda HONGERENI SANA Madaktari ila ingekuwa vema kama pia mngetumia kuda wenu kuwaelewesha wananchi walio wengi juu ya madai yenu haya ili wakayaelewa na kuunga mkono jitihada zenu otherwise wengi wanafikiria mnadai maslahi yenu 'binafsi' ndio maana hata humu ndani wapo wanaopingana nanyi.

Hao wanaojifanya hawaelewi madai ya madaktari na kudai kwamba wabataka posho tu ni makobe, magamba magumu.

Hakuna wanachojua hao!!
 
safi sana madaktari unganeni kiukweli sisi tulioko uraiani tunaendelea kuwalewesha wanchi madai yenu na wanawaunga mkono...

Tunataka Scotland yard, maana hata police wanashukiwa, vinginevyo waache kabisa. Tutawatafuta wenyewe na kuwapelekea, ila wasitulaume watakuwa kwenye hali gani.
 
Mkuu kupigwa kwa Dr. Huyu kunasikitisha SANA namwaombea apone haraka, ila kuna kitu naona akija kaa sawa kwenye press release hapa, mbona wamegueza kibao TENA! Taifa letu lilielezwa kwamba mgomo huu unasababishwa na Madaktari kutolipwa mshahara mzuri na marupurupu and what have you, if my memories serves me right sikumbuki kama kusongamana kwa wagonjwa au wagonjwa kukosa madawa nk kilikuwa na priority kubwa KWAO!! Inakuwaje sasa hivi hio ndio inaonekane imepewa kipa UMBELE!!

Kwa nini mnatafuta sympathy kutoka kwa raia wakati nyinyi hamjali RAIA-tell me? Kama wangekuwa wanajali kikweli kweli Watanzania wenzao na kumuogopa Mungu saa hizi wangekuwa KAZINI huku wakiendelea kudai sitahiki zao, kwani kazi za mahakama ni nini; mbona kuna wafanyakazi wengi tu wenye madai kama ya kwenu lakini wanakua na UTU kwa kuendelea kujenga TAIFA na kuachia mahakama ifanye kazi zake za kutetea haki zao?

Watu wengi watanijibu humu wakizungumzia mambo ya SIASA zaidi badala ya Professionalism, tukumbuke kuna njia nyingi za kutaka/kudai mabadiliko lakini sio haya ya kuhua WATU.

Viti maalimu CCM nini?
 
Hivi kumbe wanadai na vitendea kazi pia?mbona tunaambiwa la mshahara tu
 
Back
Top Bottom