Vipaji maalum si lolote, si chochote

Vipaji maalum si lolote, si chochote

I'm not least bit convinced. There is nothing special in many of the students who went to those schools. If there is, then I haven't seen it. And if I haven't seen it that means they've got nothing to show for it. So come again, brotherman! Nice try, though.
The special thing about them is that they performed better than their counterpart, so it shows they are capable of performing when it comes to examinations.

Although calling them gifted might be a step too far but academically I guess this might be the easiest way of gathering them.

But when talking about talent the only way to nurture someone is to know what he/she excels at and taking them into the proper school for them to nurture that talent, mfano kama mtu ana-kipaji cha usanii kumpeleka shule ya usanii, au kuchora kumtafutia tutor mchoraji n.k. Ingawa lazima ukumbuke kwamba duniani 90% ya watu ni average na wale 10% ambao ni exceptional they are exceptional not because they attended a certain school or college (although the school might have made them better) but they could have been better regardless.

Pia lazima ujue kwamba shule kama Tabora Boys ina disadvantage kubwa sana.., kuwepo kwake Tabora walimu wengi wazuri hawapendi kwenda huko wakati shule tuseme ambayo ipo Dar ina advantage ya kupata walimu wazuri as well as wanafunzi kupata extra Tuition.. (Ninajua wanafunzi fulani walisoma Tabora Boys PCM, Form Six, walikuwa na mwalimu wa Physics peke yake, No Pure wala Chemistry) ilibidi wajitafutie materials wenyewe wakienda likizo.., lakini they still performed na wengine kupata point 3, (they might not have been gifted, but they were hard working individuals)
 
Bottom line ni kwamba hayo mambo ya vipaji maalum ni hogwash!

Hizo shule si za vipaji maalum. At least mimi sijaona umaalum wala kipaji chochote kwa wanafunzi waliosoma kwenye hizo shule.

Kama wapo kweli na wanacho cha kuonyesha kuthibitisha umaalum wa vipaji vyao basi naomba mwenye hayo majina na accomplishments zao anipatie hapa.

mkapa,lowasa,kikwete
 
The special thing about them is that they performed better than their counterpart, so it shows they are capable of performing when it comes to examinations.

There is nothing special about that. I mean, what is so special about performing better than some other person in an exam?

Special or exceptional is intellectual giftedness.

Intellectual giftedness has its characteristics and it is usually seen from a very early age and there are methods in place for identifying it.

Other than exam results, so far I haven't seen anything else that is used as an identifying method in identifying that "specialness".

Other than exam results, have those students exhibited an observed high level of both quantitative and qualitative cognitive ability from an early age?

Does the government itself, its ministry of education, or the schools conduct IQ tests on those students who go to those "special schools" in order to actually determine if they have "vipaji maalum"?


Like I said gifted children usually exhibit those characteristics from early on in life. They tend to be more curious, have an an advanced vocabulary, they are more creative, etc.

So the question still remains - what other identification methods, other than national exam results, does the government use in determining that someone is "special" enough to go to a designated "special school"?
 
Hili swali inabidi tumpelekee Kawambwa na timu yake watupe majibu

Anyways Tanzania ndio ishakuwa jamvi la wageni. maana raisi tu ni Dk. ( that means ana kipaji maalumu maana hata hajaisomea ...kapewa tu kwa ajili ya kipaji chake maalumu cha magumashi.... na mawaziri wake wengi tu ni ma Dr. hewa kama Nchimbi ambaye amenunua phD ndani ya 2 weeks tukasikia mtu ni Dr. and the list goes on and on) .

Kwa hiyo kama kipaji maalumu ni kufaulu basi wenye phD ( na hasa za uongo) kama JK, Nchimbi, n.k ndio wana vipaji maalumu kuliko wasio nazo kama Generali Ulimwengu.....

Nafikiri kama wadau mngejibu swali la Ngabu baada ya kulielewa tungekubaliana na hoja tu kwamba hamna kipaji maalumu bongo
 
Tanzania ina Shule sita zinazojulikana kama Vipaji Maalum. Zipo nne za wavulana na mbili za wasichana. Shule hizo ni Mzumbe,Tabora Boys,Ilboru,na Kibaha(kwa wavulana). Kwa wasichana ni Kilakala na Msalato.

Katika matokeo ya Kidato cha Nne ya 2012 yaliyotangazwa leo,Shule hizo za vipaji maalum zimeboronga. Hakuna hata moja iliyo kwenye kumi bora. Zimeshindwa kujidhihirishia utofauti wao. Vipaji maalum sasa hakuna lolote,hakuna chochote.

Nafasi zao ni kama ifuatavyo: Mzumbe(17),Kibaha(18),Ilboru(31),Tabora Boys(44),Msalato(59) na Kilakala(63).

NOTE: Shule mpya ya Marian Boys ambayo ndio kwanza imeanza kutoa wahitimu wa kidato cha nne imeshika nafasi ya pili kitaifa. Hii ni Shule pacha ya Marian Girls (zote ziko Bagamoyo).Marian Girls imekamata nafasi ya nne nyuma ya Feza Boys(3) na vinara St. Francis Girls ya Mbeya.

Kwaheri vipaji maalum!
Navyojua shule za vipaji maalumu zilishafutwa na Mungai ili kuepusha ushindani na shule zao wanazomiliki za private .Kwa sasa hakuna tena vipaji maalumu zimebaki majina tu ,fuatilia mambo kwanza kabla ya kuweka mabandiko yako.
 
vipaji wenye uwezo kifedha siku hizi wanaishia fedha boys,na shule zingine.Wanaokwenda ilboru na kilakala ni wale kina kayumba.Sasa mazingira ya shule za serikali ndo yanawafanya wasifaulu vizuri
 
siasa zimezama mpaka kwenye vipaji maalum hapo tena baaasi kwaherini..
 
Njia mzuri za kuinusuru elimu yetu;

1.Shule maalum kwa sasa ni bora zifutwe tu na ikiwezekana kuonekana kama bado zina tija ni bora kila wilaya ikawa na shule yake maalum.

2.Serikali kuzifufua shule maalum kwa kuziwezesha na vifaa na vitabu vya kiada kama zilivyo shule za binafsi mfano Zile shule za Feza,St. Maries n.k

3.Ikiwezekana wanafunzi wa shule maalum wahudumiwe kwa kila kitu ikiwezekana kwa wale walioko kidato cha tano na sita wawekewe mfuko maalum (nusu boom) kwa mwanafunzi amb ambapo malipo yake watayafanya kwa kufanya shughuli maalum wakiwa jkt.

4.Serikali iingie ubia kwa wanafunzi wa vipaji maalum na shule za binafsi zilizo na uwezo wa vifaa,walimu ili nao waweze kuleta hamasa kwa wenzao walioko shule za msingi kujituma ili nao siku moja wajumuike na watoto wa matajiri.

5.Serikali kufikiria namna iliyo bora ya kupunguza ada kwa shule za binafsi ili walio wengi waweze kukidhi malipo haya kwa mwaka.

6.Wanafunzi wale wanaotoka kwenye mazingira magumu ni bora kukawa na mitihani yao hasa ukizingatia kuwa wanafunzi walio wengi wanaohitimu masomo yao ni wachache tu ndio umaliza sylabus husika.

7.Serikali ifanye check-list kwa kila shule ili kubaini iwapo wanafunzi tegemewa wa mitihani (kidato cha pili,nne na

sita) kama wamemaliza sylabus na kama hawajamaliza ni bora kuacha kufanya mitihani hiyo kwani kwa kuwaruhusu

kufanya mitihani ni kuwapotezea muda mwingi wa kurudia mitihani ambao wapo ambao wamerudia zaidi ya mara tano bila mafanikio yoyote.

5.Kumaliza sylabus kwa wakati iwe ni kigezo kimojawapo cha kuwapandisha vyeo walimu husika.

6.Wazazi nao waache mara moja kuwapeleka shule watoto wao kama sehemu mojawapo ya fasheni katika maisha bali

wawasisitize kwa dhati juu ya umuhimu wake kwa maisha yao ya baadae,kwa maana kuwa leo kumpeleka mtoto sekondari

ya gharama imekuwa ni sehemu mojawapo ya wanajamii kuonesha ufahari wa vipato vyao kiasi cha kuwajengea hisia

zisizo nzuri watoto wengine na hivyo kukata tamaa mapema.

7.Wanafunzi nao waache kusoma kwa fasheni za kimuziki,undawazi (mitandao ya kijamii) na kuiga mambo ambayo hayawasadii kujibu

mitihani yao na mambo yote yaliyo kinyume na uanafunzi wao na badala yake wajikite zaidi katika masomo na wayatumie

masomo/shule kama ni sehemu yao ya kazi zao za kila siku kama ambavyo walivyo wazazi,walezi,ndugu na jamaa zao.
 
Njia mzuri za kuinusuru elimu yetu;

1.Shule maalum kwa sasa ni bora zifutwe tu na ikiwezekana kuonekana kama bado zina tija ni bora kila wilaya ikawa na shule yake maalum.

2.Serikali kuzifufua shule maalum kwa kuziwezesha na vifaa na vitabu vya kiada kama zilivyo shule za binafsi mfano Zile shule za Feza,St. Maries n.k

3.Ikiwezekana wanafunzi wa shule maalum wahudumiwe kwa kila kitu ikiwezekana kwa wale walioko kidato cha tano na sita wawekewe mfuko maalum (nusu boom) kwa mwanafunzi amb ambapo malipo yake watayafanya kwa kufanya shughuli maalum wakiwa jkt.

4.Serikali iingie ubia kwa wanafunzi wa vipaji maalum na shule za binafsi zilizo na uwezo wa vifaa,walimu ili nao waweze kuleta hamasa kwa wenzao walioko shule za msingi kujituma ili nao siku moja wajumuike na watoto wa matajiri.

5.Serikali kufikiria namna iliyo bora ya kupunguza ada kwa shule za binafsi ili walio wengi waweze kukidhi malipo haya kwa mwaka.

6.Wanafunzi wale wanaotoka kwenye mazingira magumu ni bora kukawa na mitihani yao hasa ukizingatia kuwa wanafunzi walio wengi wanaohitimu masomo yao ni wachache tu ndio umaliza sylabus husika.

7.Serikali ifanye check-list kwa kila shule ili kubaini iwapo wanafunzi tegemewa wa mitihani (kidato cha pili,nne na

sita) kama wamemaliza sylabus na kama hawajamaliza ni bora kuacha kufanya mitihani hiyo kwani kwa kuwaruhusu

kufanya mitihani ni kuwapotezea muda mwingi wa kurudia mitihani ambao wapo ambao wamerudia zaidi ya mara tano bila mafanikio yoyote.

5.Kumaliza sylabus kwa wakati iwe ni kigezo kimojawapo cha kuwapandisha vyeo walimu husika.

6.Wazazi nao waache mara moja kuwapeleka shule watoto wao kama sehemu mojawapo ya fasheni katika maisha bali

wawasisitize kwa dhati juu ya umuhimu wake kwa maisha yao ya baadae,kwa maana kuwa leo kumpeleka mtoto sekondari

ya gharama imekuwa ni sehemu mojawapo ya wanajamii kuonesha ufahari wa vipato vyao kiasi cha kuwajengea hisia

zisizo nzuri watoto wengine na hivyo kukata tamaa mapema.

7.Wanafunzi nao waache kusoma kwa fasheni za kimuziki,undawazi (mitandao ya kijamii) na kuiga mambo ambayo hayawasadii kujibu

mitihani yao na mambo yote yaliyo kinyume na uanafunzi wao na badala yake wajikite zaidi katika masomo na wayatumie

masomo/shule kama ni sehemu yao ya kazi zao za kila siku kama ambavyo walivyo wazazi,walezi,ndugu na jamaa zao.

Kuna vipaji maalum Tanzania?
 
Saying kuwa hakuna vipaji maalum Tanzania is wrong, may be the wording of "Vipaji Maalum" au "Special School" is wrong but wikipedia defines these schools as schools for "academically gifted" students which based on the criteria our country uses ni sahihi.
Mi nimesoma kibaha boys, baba yangu alisoma pale na kaka yangu amesoma pale so mtazamo wangu utakuwa based with my experience at kibaha boys(A-level).
May be kuiita vipaji maalum is overrated but these boys/girls need recognition for their academic excellency, mtasema Feza boys(6million), Marian girls, St. Francis, etc also deserve the recognition but the point is kuwa most students who go to these "special" schools cannot afford going to those performing private school, which tells you much about their background, they went to local schools and most likely they are living below living standards which scientifically should affect their academic performance but they tried and they performed better than everyone else in the country to get into "special" schools.

For O-level results it has been a trend for private and "single sex" schools kuongoza, nilisoma private catholic school O-level, and by then we were the only co-ed school kuingia topten usually(Msolwa). Private schools zinafundisha, materials zipo, you get everything, government schools you'll be lucky to finish the syllabus, leave alone students-to-teacher ratio, but still these boys/girls kushika nafasi ya 17,18 etc mnasema sio vipaji, I think for you guys to appreciate uwezo wao kiakili u must live with them, see them. Mbona hamuongei when they lead kidato cha 6, and no wonder why they keep on doing good vyuoni.

The only thing we can blame ni mfumo, may be they need to do more in these schools, expose these boys and girls to external world, many of them have a quality ya kuingia chuo vyuo vikubwa duniani under full scholarship if they knew about doing SATs, TOEFLs etc. they system has tuned them to aim for UD, to fight for mkopo and nothing more, to believe success is in academics only, they haven't been given much to explore their other potentials.

Conclusively, a drop of blood doesn't make the ocean red, these kids are smart and they deserve to be called academically gifted, si kila mtu can perform in conditions they are subject to and being in the top 20 is remarkable.
 
Conclusively, a drop of blood doesn't make the ocean red, these kids are smart and they deserve to be called academically gifted, si kila mtu can perform in conditions they are subject to and being in the top 20 is remarkable.

No one is denying that they are smart and no one is saying they are stupid either.

My issue is only with the identification methods used in deciding which student is "special" enough to go to those designated "special schools".

Just because someone performs with flying colors in his finals that alone doesn't make him or her "special". An average student can work hard and earn good grades but that doesn't make him or her intellectually gifted.

Maybe I don't know but do they actually start scouting for these "special students" in primary school? Like having them take advanced classes like college level algebra, trigonometry, etc.? To me a kid who is in standard five or six, for example, who can take college level classes and actually excel, then that student is intellectually gifted. Or say a ten year old with a reading level and vocabulary of a college student....that is intellectual giftedness.

But just performing well on a national exam that you had years to prepare for is not all that special. The whole idea is misguided and the methodology used in picking those "special" students is flawed. No wonder why most of them have nothing to show for after they finish school. You know why? Because perhaps they were not that gifted, after-all.
 
To: Nyani Ngabu

Nimesoma comment zako zote kwenye hii thread ni kana kwamba ulikuwa na wivu fulani kwa jamaa waliokwenda vipaji maalum enzi hizo unasoma sekondari.

Kwanza kabisa nikumbushe tena kuwa shule za vipaji maalum zilifutwa. Sasa hivi yamebaki mazoea tu kuwa bado wanajitahidi kupeleka waliofaulu vizuri kwenye shule zilizokuwa za vipaji maalum, japokuwa vigezo sio strict sana kama zamani. Hata wa kawaida wanachomekwa. Ile spirit imeshakufa.

Kuhusu hoja yako inatakiwa utambue kwanza kitu gani kinathaminiwa katika elimu ya Tanzania. Kinachothaminiwa ni kufaulu mitihani. Hilo ndio jambo la kwanza. Mengine kama michezo na sanaa (eg kuchora, kuimba, kuigiza, n.k.) vinakuwaga vikorombwezo tu. Hata wazazi makini utasikia wanasema, "We mtoto acha kucheza kasome! Huo mpira utakupeleka wapi?"

Kwa hiyo dhana ya vipaji maana yake ndio hiyo. Kwamba "academically gifted". Kufaulu mitihani ndio academics zenyewe.

Hayo mambo ya kushinda Nobel, kugundua dhana au vitu vipya kimsingi hayako kwenye mtaala wa sekondari. Angalia waliotunukiwa Nobel wote wametunukiwa kwenye ngazi gani. Utakuta ni watafiti waliokuwa kwenye vyuo vikuu.

Kwa lugha nyingine wewe unaangalia matokeo ya baadae sana nje ya muktadha wa vipaji maalum. Imani ni kwamba mtaala unamjenga mwanafunzi aje kufanya vema baadae kimaisha. Lakini kila mtu anajua kuwa kufaulu masomo darasani sio kwamba ndio utakuwa na tajiri kwenye biashara, au bosi kazini au mshindi wa Nobel hapo baadae.

Kwa hiyo kwa kipindi kile ambacho walikuwa sekondari kipimo pekee kilikuwa ni mtihani. Wamefaulu mtihani, wamestahili kuitwa "academically gifted". Kama una mtazamo tofauti basi angalia mtaala na mitihani, kuwa labda mtaala n mitihani haifai kutambua vipaji maalum.

Hapo naamini tumeelewana.
 
To: Nyani Ngabu
Nimesoma comment zako zote kwenye hii thread ni kana kwamba ulikuwa na wivu fulani kwa jamaa waliokwenda vipaji maalum enzi hizo unasoma sekondari.

Hapana, umenisoma vibaya. Sijawahi, sina, na sitakuja kuwa na wivu kama huo. I have a ton of confidence in my abilities and never did I even once aspire to go to those so called special schools. Matter of fact, those who know me know how much I loathed going to boarding school. So jealousy and envy is not it for I don't think many of those students got anything on me anyway.

Kwanza kabisa nikumbushe tena kuwa shule za vipaji maalum zilifutwa. Sasa hivi yamebaki mazoea tu kuwa bado wanajitahidi kupeleka waliofaulu vizuri kwenye shule zilizokuwa za vipaji maalum, japokuwa vigezo sio strict sana kama zamani. Hata wa kawaida wanachomekwa. Ile spirit imeshakufa.

Beef yangu si uwepo wake au la. Beef yangu ni identification methods zilizokuwa zinatumiwa kuamua wewe una kipaji maalum na lesser mortal NN hana. Hivyo wewe unapangiwa Ilboru au Mzumbe na poor lil' 'ol me napangiwa Kibasila.

Kuhusu hoja yako inatakiwa utambue kwanza kitu gani kinathaminiwa katika elimu ya Tanzania. Kinachothaminiwa ni kufaulu mitihani. Hilo ndio jambo la kwanza.

Enhee...hapa kidogo sasa naona kama umeelewa hoja yangu. Hicho kinachothaminiwa hasa ndiyo kilicho misguided. Na methodology iliyokuwa inatumika kuthaminisha ilikuwa iko flawed. Hebu fikiria....mtu ni average student lakini anajitahidi sana kujisomea, kwenda darasani, yaani ana bidii kweli kweli. Kila akifanya term exams anafanya vizuri....national exam nayo anakuja kufanya vizuri. Anapata divisheni wani yake swaafi....matokeo yake anapangiwa shule ya "vipaji maalum" kwa sababu ana "kipaji maalum" kwa sababu tu kapata divisheni wani kali. Sasa kweli mtu huyo utasema ana kipaji maalum cha taaluma? Hapo si utakuwa unachanganya kipaji na bidii?

Kwa hiyo dhana ya vipaji maana yake ndio hiyo. Kwamba "academically gifted". Kufaulu mitihani ndio academics zenyewe.

Hapana. Sikubaliani na wewe. Kuwa na kipaji maalum ni, kwa mfano, mtoto wa darasa la tatu mwenye uwezo wa kushuka college level multivariable calculus na kwenda toe to toe na watu waliomzidi umri na ambaye wanafunzi wenzake wa umri/rika lake anawaacha mbali sana. Hicho ni kipaji maalum.

Au mtoto wa miaka miwili kuweza kusoma na kuelewa vizuri kabisa na ambaye hata akianza darasa la kwanza shuleni itabidi watumie silabasi tofauti kumfundishia kwa sababu ile ya kawaida atakuwa yuko too advanced kuizidi.

Sasa, hizo "special schools" zilikuwa zinatumia silabasi tofauti na ambazo wanafunzi wa Jitegemee au Buluba sekondari walikuwa wanatumia? Hao wanafunzi wa vipaji maalum walikuwa wanasoma mambo ambayo wanafunzi wengine walikuwa hawayasomi? Yaani kwa mfano walikuwa wanasoma mambo ya chuo kikuu wakiwa O-level? Na mitihani yao ya taifa ilikuwa iko tofauti na ambayo walikuwa wanafanya wengine?

Kwenye nchi za Ulaya na Marekani huwa wana methods mbalimbali wanazotumia kumtambua mtoto mwenye kipaji maalum na mojawapo ni IQ test. Je, hao wa kwetu walikuwa wanapimwa IQ zao?

Hayo mambo ya kushinda Nobel, kugundua dhana au vitu vipya kimsingi hayako kwenye mtaala wa sekondari. Angalia waliotunukiwa Nobel wote wametunukiwa kwenye ngazi gani. Utakuta ni watafiti waliokuwa kwenye vyuo vikuu.

Hahahaaaa hapa ndo ntakukamata wewe. Wengi sana wa hao Nobel laureates ukifuatilia historia zao utagundua kwamba ni watu ambao unaweza kusema walikuwa na vipaji maalum kweli kweli na siyo kama hivyo vya NECTA. Wengi wao utakuta walionyesha uwezo mkubwa sana tokea awali kabisa wakiwa wadogo. Na wakifika kwenye mavyuo makuu huko ndo wanafanya mambo yanayoonyesha kweli walikuwa na vipaji maalum. Sio hawa wa kwetu ambao "vipaji" vyao "maalum" vinaanzia na kuishia kwenye mitihani ya taifa.

Kwa lugha nyingine wewe unaangalia matokeo ya baadae sana nje ya muktadha wa vipaji maalum. Imani ni kwamba mtaala unamjenga mwanafunzi aje kufanya vema baadae kimaisha. Lakini kila mtu anajua kuwa kufaulu masomo darasani sio kwamba ndio utakuwa na tajiri kwenye biashara, au bosi kazini au mshindi wa Nobel hapo baadae.

Kufaulu tu masomo ya darasani hakumfanyi mtu awe na kipaji maalum. Hicho ndo ninachokataa mimi kwa sababu kufaulu tu mitihani si lazima uwe na kipaji maalum kwani hata mimi nimeshafaulu mitihani mingi tu na kwenye undergraduate hakuna term ambayo sikuwa kwenye dean's list lakini kusema ukweli sina kipaji maalum. Ni bidii tu ndo iliniwezesha kupata hayo mafanikio. Na kuna watu ambao wamesoma hizo shule za vipaji maalum, wengine wapo humu humu JF, wengine tunao mtaani, lakini mimi sijaona kabisa umaalum wa vipaji vyao. Ni watu wenye intellect ya kawaida kabisa. Lakini eti walisoma shule za watu wenye vipaji maalum....lol. Funny stuff.

Kwa hiyo kwa kipindi kile ambacho walikuwa sekondari kipimo pekee kilikuwa ni mtihani. Wamefaulu mtihani, wamestahili kuitwa "academically gifted". Kama una mtazamo tofauti basi angalia mtaala na mitihani, kuwa labda mtaala n mitihani haifai kutambua vipaji maalum.

Kufaulu mtihani siyo kuwa na kipaji maalum.

Hapo naamini tumeelewana.

Kama kwako kufaulu mtihani ndiyo kuwa na kipaji maalum basi usijipe moyo maana sikubaliani na hiyo hoja.
 
Mfano wa kipaji maalum huu hapa. Dogo wa miaka 13 yuko Morehouse College.

Alikuwa na uwezo wa kufanya third grade math akiwa na umri wa miaka 2 tu!

 
Last edited by a moderator:
Another kipaji maalum....cheki umri wake.

 
Last edited by a moderator:
Meet Jacob (Jake) Barnett....kipaji maalum cha ukweli!

Angalia mwenyewe.....at 8 yrs old he was taking college courses....at 13 he was in college. Nani atabisha huyu dogo hana "kipaji maalum"?

 
Last edited by a moderator:
I did my A'Levels at Mzumbe secondary school. Up to this day I really don't see any reason to refer Mzumbe as a "special" school. While at Mzumbe I didn't see a single student that was too academically gifted to qualify as a "special, highly-talented or genius" student. Hell No!! Just like majority of Tanzanian high schools, all you had to do was to keep on memorizing the past final exams (popularly known as "past papers" or madesa), and you would be just fine.....sort of the type of high school education (scoring high pass marks based on creaming/memorizing skills and not creativity) that has been offered at most Indian and Chinese high schools for decades-according to Fareed Zacharia (on one of his GPS program in 2012).
A special student, to me personally, is the one who exhibits some of the exceptional and extraordinary skills.
Mzumbe, Ilboru or Kilakala are not "special". I think these schools are just shule za wanafunzi wenye grade nzuri lakini sio za wanafuzi special ama wenye vipaji. Hell no!
 
Tanzania ina Shule sita zinazojulikana kama Vipaji Maalum. Zipo nne za wavulana na mbili za wasichana. Shule hizo ni Mzumbe,Tabora Boys,Ilboru,na Kibaha(kwa wavulana). Kwa wasichana ni Kilakala na Msalato.

Katika matokeo ya Kidato cha Nne ya 2012 yaliyotangazwa leo,Shule hizo za vipaji maalum zimeboronga. Hakuna hata moja iliyo kwenye kumi bora. Zimeshindwa kujidhihirishia utofauti wao. Vipaji maalum sasa hakuna lolote,hakuna chochote.

Nafasi zao ni kama ifuatavyo: Mzumbe(17),Kibaha(18),Ilboru(31),Tabora Boys(44),Msalato(59) na Kilakala(63).

NOTE: Shule mpya ya Marian Boys ambayo ndio kwanza imeanza kutoa wahitimu wa kidato cha nne imeshika nafasi ya pili kitaifa. Hii ni Shule pacha ya Marian Girls (zote ziko Bagamoyo).Marian Girls imekamata nafasi ya nne nyuma ya Feza Boys(3) na vinara St. Francis Girls ya Mbeya.

Kwaheri vipaji maalum!

Petro E. Mselewa mbona shule za vipaji zilifutwa kitambo sana? Hukujua hilo?
 
Last edited by a moderator:
A special student, to me personally, is the one who exhibits some of the exceptional and extraordinary skills.
Mzumbe, Ilboru or Kilakala are not "special". I think these schools are just shule za wanafunzi wenye grade nzuri lakini sio za wanafuzi special ama wenye vipaji. Hell no!

Very well put my friend.

Wanna see "kipaji maalum"?

Hebu angalia hiyo youtube clip ya Jake Barnett....now tell me if that ain't "kipaji maalum".

Nani Mzumbe au Kilakala amewahi kusoma akiwa na miaka 5 au 8?

Na ni nani kutoka Mzumbe au Ilboru aliwahi kuwa tested IQ yake?
 
Back
Top Bottom