Wakuu habari za leo;
Jana niliweka post kwamba tunahitaji msichana kufanya kazi za secretarial, nashukuru kwa maoni ya wadau kadhaa tumefanikiwa kumpata mtu.
Kampuni yetu ni ndogo na ni mpya...
Wana JF naomba kuelimishwa kidogo kuhusu bei ya magari katika mtandao wa Tradecar view kabla sijamnunulia dada/shemeji yenu, katika pitapita yangu ndani ya mtandao kuna kitu kimenishangaza sana...
Mambo vipi humu ndani?
Wanajamii mwenzenu nataka kununua gari 4WD, ammbayo ni Landrover discovery, please naomba kwa wenye uelewa mnisaidie kuchambua ni aina gani/version ipi ya discovery ni...
Nyumba inauzwa:
Mahali: Yombo Buza - karibu na kituo cha kanisani
Umbali: Mita 100 kutoka barabarani
Ilivyo: Vyumba 2 na master bedroom, kitchen, sebule na stoo
Mengineyo: imepigwa bati...
JESHI la polisi mkoani hapa limelazimika kutumia mabomu ya machozi kwa ajili ya kumuokoa bibi Hadija Kabeya Saloom (70) aliyevamiwa na watu wapatao 50 wakitaka kumuua kwa tuhuma za uchawi...
Habari za hapa jukwaani wakuu, zinahitajika Camera mbili kubwa za digital ziwe either cannon au nikon mwenye nazo achangamke faster, mpya au used(in good condition)
Nimeipenda hii gari sababu kubwa ni cc 650, ni four wheel drive na Pia Ina Turbo.
Jamani mwenye kuijua hii gari vizuri naomba anipe Update please! Please!!
Natanguliza shukrani
MAGARI YANAUZWA KWA BEI NAFUU.WASILIANA NASI .YAMELIPIWA USHURU,IMPORTED FROM JAPAN.
1.Toyota Gaia
year 2001
Petrol
Price 8M
2.Lande cruiser Prado
Pearl II...
EVAG Consulting Firm (T) Ltd is a Tanzania based company which is established and was registered on 12th October 2009 under the Tanzania company act 2002 with registration no 73210 and TIN no...
Nimepata maumivu baada ya kuisahau mahali kwa sekunde chache simu yangu ya Nokia 95, niliyokaa nayo kwa miaka minne na niliyoipenda sana hasa kutokana na camera yake ya 5.8 pixels, ikapata...
Hofu ya kusakwa kwa viungo vya walemavu wa ngozi imeibuka upya baada ya watu wasiojulikana kudaiwa kufukua kaburi la mlemavu wa ngozi katika kitongoji cha Izengwabasumba katika kijiji cha...
Kilimanjaro BBQ & Restaurant
94 Longbridge
opposite "AtTqwa"-Jumuiya ya wasomali
Barking
Wanaondesha hii Restaurant ni waswahili kutoka nyumbani na tarehe 3 Jul 2010 wamefunguwa rasmi...
Iphone 3GS 32G inauzwa, imetumika kwa miezi sita. Sababu ya kuiuza ni kwa vile nina-upgrade to IPHONE 4G~kwa anayeitaka naomba ani-PM, au aniandikie at Yegomasika@gmail.com
itapatikana mwishoni...
iphone 3gs 16gb inauzwa
bei 800,000
mpya ipo kwenye box lake na vitu vyake vyote
haijawa unlocked
ukitaka iwe unlocked bei itakuwa 870,000
kutoka UK
contact 0717445288
We are Better connected for our customers' satisfaction.
Just PM me for any further inquiries on the products and orders.
........................
Unlocked 2SIM 4BAND WIFI JAVA TV G-SENSOR...
Baadhi ya wananchi wakitazama ndege ya kijeshi iliyoanguka jana katika kijiji cha Manga barabara Kuu ya Segera- Chalinze, Wilayani Handeni mkoani Tanga, na kusababisha vifo vya marubani wawili...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.