Pikipiki inauzwa

Pikipiki inauzwa

Kitabu

JF-Expert Member
Joined
Jan 7, 2011
Posts
313
Reaction score
29
Pikipiki aina ya YAMAHA XT cc250 nimefunga Engene ya Honda cc250.inahali nzuri kabisa.Bei Tsh1800,000/-
 
uko wapi na tutakupataje? kuna mazungumzo?
 
inafaa kwa boda boda? kama ndio nina milioni moja.
serious.
 
mkuu weka picha.nimetafuta kitu ya cc250 muda kidogo sasa.weka picha ili nione body kama inalipa pia.na imeshasajiliwa?
 
mkuu weka picha.nimetafuta kitu ya cc250 muda kidogo sasa.weka picha ili nione body kama inalipa pia.na imeshasajiliwa?
Nitaweka picha,ila inafanana sana na body ya baja au XLR,imetulia kwa kweli.Bodaboda ukipenda waweza itumia,Ila kwa cc250,mjapani!sishauri sana.Imesajiliwa kwa ZNZ.Documents zote zipo,tokea inaingia nchini
 
inafaa kwa boda boda? kama ndio nina milioni moja.
serious.
Matumizi utapanga wewe,Ila kwa milioni moja kaka,uko mbali sana,hiyo ni bei ya mchina Mkuu
 
Nimeshusha bei wana JF hadi Tsh 1,600,000/-semeni sasa
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom