Natarajia kusafiri kwenda ughaibuni kwa miezi 3 hivi, nahitaji insurance kunicover kwa muda huo.
Mwenye kujua naomba anisaidie wapi naweza kupata travel insurance.
Watumiaji wa email kupitia http://www.hotmail.com, kuna watu matapeli ambao wanatuma jumbe za kukutaadharisha kuwa kuna matatizo katika anuani pepe yako na wanakutaka utume maelezo yako binafsi...
Nilikuwa safarini Tabora kwa ajili ya kupiga kura. Ni uchaguzi pekee nilioshiriki tangu mwaka 1995 ambapo kura yangu nilimpigia Mrema pale Ubungo; mwaka huu nimempigia Slaa. Kama ambavyo mwaka...
Wana JF ninahitaji kupata External Hard drive 320GB au 500GB. Mwenye access nayo naomba anijulishe nitaipataje na kwa bei gani.
Location yangu kwa sasa ni Dar es salaam.
ninauza kiwanja madale kwa karibu na kwa kawawa kimezungushiwa michongoma ukubwa ni robo heka na kinafikika kiko tambarare bei ni milioni 5.5 na hakuna dalali mimi ndo mmiliki nauza ili nipate ada...
Wana jf kuna nyumba inauzwa ipo kimara mwisho
ina vyumba vitatu, choo, bafu, sitting room, dinning room, kitchen na ina eneo kubwa sana kuweza kujenga hata nyumba nyingine.
Mita 500 kutoka...
Wanajamii nahitaji nyumba ya kupanga maeneo ya sinza, mwenge, kijitonyama au kinondoni. Kodi isizidi laki mbili na nusu kwa mwezi. wasiliana nami 0713775173 au 0757818564
Roller compactor 3000kg (3TONNES) Bomag
JCB beaver
concrete mixture Lister Peter
Plate compactor of different sizes(Honda & Robin)
Upright rammer
used in uk
see attachments
for...
Kama kuna mtu anauza gari aina ya Corolla 110 au ana jamaa anayeuza hiyo gari tafadhali tuwasiliane. Tafadhali nitumie pm hapa hapa au nipatie namba yako kisha tuzungumze biashara. Hii ni kwa...
habari wana JF? naomba mwenye kufahamu ni chuo gani au mtu gani naweza kwenda na kujifunza kupiga kinanda? imekuwa interest yangu mda mrefu but sijui wapi ntapata. pia ningefurahi kama utanitajia...
Salamu kwenu wakazi na wafanya biashara wa Mbeya..
Je unasumbuliwa na vifaa vyako ofisini kama vile Computer, photocopier, printer na kadhalika..
Wasiliana nasi sasa kwa huduma zifuataza...
Napenda kufahamu nitawapata wapi watu au kampuni inayojihusisha na kuweka nembo pamoja na maandishi kwenye vifungashio (packages) kama viroba na mifuko mingine. Naomba mnifahamishe
Nimepokea taarifa zinazosema kuwa,
Aliyekuwa Mwenyekiti wa Bodi ya Wakurugenzi wa "Tanzania Chamber of Commerce, Industry & Agriculture" (TCCIA) Bwana ELVIS A. MUSIBA amefariki dunia alfajiri ya...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.