Nyumba inapangishwa

Nyumba inapangishwa

Mhache

JF-Expert Member
Joined
Jun 20, 2008
Posts
345
Reaction score
27



Nyumba iliyopo Mbezi Luisi karibu na Mbezi High School njia ya kuelekea Mpiji Magoe inapangishwa. Ipo kilomita moja kutoka barabara ya Morogoro. Nyumba ina sebule, chumba cha kulala, stoo ndogo, jiko na choo cha nje. Nyumba ina umeme, maji yanapatikana jirani. Kodi kwa mwezi ni shilingi 100,0000/= Kwa mawasiliano 0754 383 416.​
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom