Mhache
JF-Expert Member
- Jun 20, 2008
- 345
- 24
Nyumba iliyopo Mbezi Luisi njia ya kuelekea Mpiji Magoeinapangishwa. Nyumba hiyo ipo karibu na Sekondari ya Mbezi kilomita moja kutoka barabara ya Morogoro. Nyumba yenyewe ina sebule, chumba cha kulala, stoo na jiko. Choo ni cha nje. Nyumba ina umeme, maji yanapatikana jirani. Kodi kwa mwezi ni shilingi 150,0000/= Kwa mawasiliano 0754 383 416.