Semi-finished house for sell.

Semi-finished house for sell.

Mallaba

JF-Expert Member
Joined
Jan 30, 2008
Posts
2,554
Reaction score
48
Ee Bwana uyasikilize maneno yangu, ukaangalie kutafakari kwangu.
 
Mkuu unaweza kuihamishia Dar, duh mjengo umetulia na bei siyo mbaya kabisa.
 
Bdo nipo nipo bwana unavituko sio vya kawaida ataihamishaje??
 
Kwa bei hiyo Magu lazima umbambike mchimba madini wa Nyarugusu.
Tshs. 28m ni nyingi sana kwa bei hiyo kaka
 
jamaa amenipa akisema hiyo ni bei ya kuanzia
kwa hiyo kama kuna mtu anahitaji kwa ukweli punguzo lazima liwepo
 
Kwa bei hiyo Magu lazima umbambike mchimba madini wa Nyarugusu.
Tshs. 28m ni nyingi sana kwa bei hiyo kaka
usiogope kaka, kwanza angalia jumba lenyewe likiwa na makaratasi yote
yaani mtu anaweza akalinunua mara moja nakuchukua mkopo wa mamilioni ya pesa sababu hati ya nyumba na kiwanja ipo kabisa.
 
Tatizo kaka jamaa hakujiandaa vizuri alidhani ujenzi ni mchezo.
lakn kwa gharama sidhani kama ni kubwa sana ya kutisha ukilinganisha na thamani ya property yenyewe.
Kwa bei hiyo Magu lazima umbambike mchimba madini wa Nyarugusu.
Tshs. 28m ni nyingi sana kwa bei hiyo kaka
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom