Monday, 14 June 2010 21:00
UMOJA wa Wamiliki wa Maroli na Waagizaji wa Mafuta (Tatoa), umesema kuwa serikali inapoteza zaidi ya Sh25 bilioni kila mwezi kutokana na tatizo la...
HABARI!
NAHITAJI CHUMBA AU MASTA, SEBULE NA JIKO MAENEO YA KINONDONI (Kanisani, B, Manyanya, Mkwajuni au Hananasif) kuanzia leo mpaka 15/7.
Kusiwe na wapangaji zaidi ya mmoja na ikiwezekana...
HABARI WANA JAMVI!
NAMTAFUTA BABA YANGU MZAZI ANAITWA AUGUSTINE JOHN CHUWA a.k.a MUKI
MARA YA MWISHO TULIONANA 1999 KWENYE MSIBA WA BABU YANGU MOSHI!
ALIKUA ANAISHI DAR WAKATI HUO NA KUFANYA...
Wanajamii naomba nisaidiwe na nichukue fursa hii kwa kuwafahamisha wanajamii wenzangu kuhusiana na makato ya kila mwezi kwa hawa jamaa wanaojiita NSSF, kwa zaidi ya mwaka mmoja nimekuwa...
We supply full system computers(Dell) to schools,colleges,universities and other individuals in Tanzania just for 400,000/=.
We can deliver your computers anywhere in Tanzania.
"Spend less for...
Hi,
This is Jene from China. We are specialized in supplying:
Gasoline Engine
Diesel Engine
Generator
Pump
Tiller
We'd like to find a partner for a long term business relationship, if you are...
Wanne wauawa Dar, Polisi waua wawili
Yumo anayedaiwa kuiba mpunga.
Waziri Mkuu Mizengo Pinda.
Matukio ya watu kujichukulia sheria mkononi na polisi kuua...
Adonia Eliasante aka Ardorado
Namtafuta huyu mdau anasadikika kuwa anaishi maeneo ya nje ya jiji la chikago, IL. Ninaujumbe wako muhimu. Mwenye details zake naomba anipm.
Wadau wa JF namtafuta rafiki yangu wa siku nyingi anayeitwa Salehe Juma Mpinga. Tulimaliza Shule ya Msingi pamoja pale Uwanjani P/ School ( Kawawa P/ School) kule Kigogo- Luhanga kwa Binti Kahenga...
Wadaiwa walikuwa ni majambazi
Aua shemeji yake kwa deni la 1,500/-
Mwingine aua kwa wivu wa mapenzi
Kamanda wa Polisi wa Mkoa wa Mbeya, Advocate Nyombi...
Jamani naomba nisaidiwe kama kuna mtu yeyote anaweza nisaidia nipateje Chumba cha kufanyia
Biashara yoyote ndogo na mpya kwa Mbeya.Si lazima sana iwe City center lakini eneo lililokaribu na...
We supply full system computers(Dell) to schools,colleges,universities and other individuals in Tanzania just for 400,000/=.
We can deliver your computers anywhere in Tanzania.
"Spend less for...
Alitumwa kutafuta kuni wakamvamia
Mtoto mwenye umri wa miaka saba, Kurwa Musa, mkazi wa Mwasele A katika Manispaa ya Shinyanga, amekufa baada ya kushambuliwa na mbwa watano, wakati...
Wapendwa wana JF nawatangazia msiba wa mdogo wangu aishie Dar. Alivamiwa na majambazi jana usiku mida ya saa 3 hivi. Walimpiga risasi sita na kufariki papo hapo. Mipango ya mazishi ni pale 92...
Kwa kuanzia kuna mdau Icadon kaandaa ya kwake...
Tunahitaji tangazo ambalo litakuwa la kipekee kwa ajili ya kuweka kwenye Bilboards za Tanzania na Tv Screens.
Angalia alichoandaa mwenzetu:
JF...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.