Zipuwawa
JF-Expert Member
- Nov 28, 2010
- 3,051
- 653
Ndg zanga jana nilikwenda Mlimani City nikapaki gari yangu pale na kuacha baadhi ya vitu ndani ya gari kama laptop na hard disk GB 500 ikiwa na mambo muhimu sana kwa bahati mbaya nikaingia ndani NBC kurudi nikakuta wamevunja kioo na kuiba laptop na vingine kama modem ya Zantel, latop ni Toshiba l 555 17'. hapa naanza upya maisha . kama kuna ushauri naweza kupata kutoka kwenu itakuwa heri maana hapa na RB ya polisi ambayo najua kuwa ni kazi sana kupata vitu vyangu hasa baadhi ya document. kwa msaada nitafute kwa 0717020737.
najua kuwa mwaka wa hasara daima mjinga haujui. asanteni
najua kuwa mwaka wa hasara daima mjinga haujui. asanteni