IWE NA UWEZO WA KUHIFADHI MAGARI MADOGO YASIYOZIDI 200
IWE DAR ES SALAAM KANDOKANDO YA BARABARA (MAINROAD)
IWE KWENYE UZIO (FENCED)
Kwa mawasiliano ya haraka niandikie kupitia...
Vipo Mbezi juu km 4 kutoka Bagamoyo Road. Size 20 x 20 kwa shs 7.5mil au 40 x 20 kwa shs 15mil. Havina Hati miliki certificate of occupancy. Utauziwa chini ya usimamizi wa serikali ya mtaa. Vipo...
KUTAKUWA NA KIKAO CHA WANAIRAMBA HAPO TAREHE 24 MAY SIKU YA JUMAMOSI (jioni) , WANAIRAMBA WOTE (pamoja na vikundi mbalimbali mfano; vya kuzikana, kusaidiana nk) WOTE WANAKARIBISHWA KUHUDHURIA ...
WADAU NaTAFUTA GARI NDOGO YA BEI NAFUU GARI KAMA MARK 2 ,CRESTA AU CHASSER GX 100,VITS AU CARINA ILIYO KWENYE HALI NZURI
OFA YANGU NI MILION TANO ZA KITANZANIA YEYOTE MWENYE GARI YA NAMNA HIYO...
Wadau naomba mnisaidie modem ya kampuni ipi itanifaa ..zantel,sasatel,vodacom etc na iwe bora bt gharama nafuu kuimanage...nipen mawazo kesho nikachukue .
Salaam wa wanaukumbi
naomba kujulishwa kama hapa dar es salaam kama kuna flat zinauzwa kwa njia ya malipo ya instlament yaani kama kuna mjenzi anajenga jengo la ghorofa kumi na zaidi na huwa...
Habari hii nimetumiwa. Baada ya kuiusoma nikaona ni vema niilete hapa ili wana jamii muine what next to do. Mie nimefanya part yangu. I do not knwo the baby lakini imenigusa ku save life.
CONTACTS...
Wadau,
Hivi karibuni nimekubwa na usumbufu wa panya. Wanatoboa madirisha na kuingia ndani nyakati za usiku. Nimejitahidi kupambana, ila nimeona paka atakuwa suluhisho la kuaminika. Nikiweka...
Wadau,
Gali hili linauzwa; lina hali nzuri bei ni milioni 32 negotiable
Driving: LHD
Manufactured: 2002
Engine capacity: 3500 Turbo
Call: 0787 377511/ 0719 055711/ 0768 264320
Nimehangaika vya kutosha,natafuta mshine aina ya noritsu 2611 na developing yake kwa ajili ya kuoshea picha,pia kama itakuwa na digital carrier yake,
naombeni mnisaidie
Gari Inauzwa bei nzuri. Wasiliana na 0756 769741
Mitsubishi dingo
Price - Tshs 5.5m
Air Conditioning, Airbag, Power Window, Power Steering, Power Mirror,
AntiLock Brakes, Central Locking...
nauza gari TOYOTA IPSUM . IMETEMBEA KM 93,500. RANGI YA SILVER. IPO OK HAINA SHIDA ,IMELIPIWA BIMA COMPREHENSIVE MPAKA 2011 MWEZI WA TISA.ina uwezo wa kuchukua abiria saba mpaka nane. bei ni...
VIWANJA VIKO MBEZI LUIS KILOMETA TATU NA NUSU TU KUTOKA MOROGORO ROAD UPANDE WA KULIA UKITOKEA UBUNGO. BEI 30X22 2.5MILIONI, 25X22 2MILIONI NA 22X20
1.5MILIONI.
(kwa taarifa zaidi piga: 0715 055...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.