mcharuko.mcharu
New Member
- Jun 9, 2011
- 2
- 1
Nauza Bajaj yangu ya mwaka 2009 iko MOROGORO, iko registered kwa biashara licence ina'expire April 2012, iko katika hali nzuri haina tatizo lolote.
Bei tsh 2,500,000-NEGOTIABLE
Sababu ya kuuza-sina muda wa kukimbizana na madereva wasumbufu, wameniibia sana hela!
Samahani nimeshindwa kuweka picha, Serious Buyers ni PM please!
Bei tsh 2,500,000-NEGOTIABLE
Sababu ya kuuza-sina muda wa kukimbizana na madereva wasumbufu, wameniibia sana hela!
Samahani nimeshindwa kuweka picha, Serious Buyers ni PM please!