Hello JF members!
Na wale wasomaji !
Kuna uzushi mwingi hasa katika hii tasnia ya Utabiri...mara hivi mara vile!
Sijui shaka zao ni nini? Kuliko kuponda usichokijua bora ukae kimya bana!!
Natafuta sehemu ambayo nitaweka mashine ya kusaga mahindi. Iwe jirani na barabara. Maeneo ya ubungo, Kimara ama Tabata. Kwa anayejua au mwenye kaeneo tujulishane. Hata kama ni kununua ama kukodi...
kuna ndugu anauza eneo lake lipo mbezi malamba mawili ,halijapimwa ,lna ukubwa wa m42'20' 25'25' 20; ni pembe tano fulani hivi ,ni asset bomba kwani eneo hili linakuwa kwa kasi! bei M 5 tu...
Big Beautiful House is available for rent immediately. The house is Ideal for Office Purposes e.g. NGO's, Financial Institution, or Private Company. It has 5 rooms and A servant quarters. It is on...
I have a brand new Dell latitude E6400 for sale
Specs:
1GB of RAM, integrated graphics, Intel Core 2 Duo processor ( P8400 2.26GHz, 3M L2 Cache), a DVD player/CD-RW combo drive, 80GB hard drive...
Kwa wale waliosoma MKWESE SEKONDARI.....nimepata taarifa za msiba wa MZEE MGHUYAA uliotokea siku ya KRISMAS
Mzee wetu alikuwa ni mtumishi wa shule hii kwa kipindi kirefu....wengi tuliopita pale...
Wakuu wenzangu wote wa Jamii forums hususan hii Thread ya Matangazo Madogo Madogo ,nawaombeni Ushauri wenu nataka kufanya Biashara ya kuleta Gari la aina ya ( Toyota
Camry) toka Ughaibuni kuja...
Kwa wale waote wanaohangaika kutafuta battery za simu, au power supply za computers, battery za laptops, au printer toners na cartilages za aina mbalimbali, na ambazo ni shida kupatikana kwenye...
Jamani naomba ushauri nina m 7.5 nataka gari ambalo ni economic especially kwenye mafuta then spares, lakini liwe reliable na linalouzika at the end of the day, brand iwe Toyota ntashukuru sana...
kazi kwenu wakazi wa mwanza ,ADEM sasa ipo mwanza kutoa mafunzo mbali mbali kwa ngazi ya diploma na sertificate,kwa masomo ya uongozi na utawala pamoja na kozi za kompyuta,chuo kimesajiliwa ni...
Ipo Mbezi kwa Msuguri Ina vyumba vitatu vya kulala (kimoja self contained),
sebule, jiko, Choo cha nje. Kodi ya pango shs 250,000 kwa mwezi.
Kodi ya miezi sita
inapokelewa.
kwa maelezo ya...
Natafuta nyumba ya kupanga maeneo ya kijitonyama au sinza. Iwe 2 bedrooms, 1 sitting room, bei Tshs 150,000 kwa mwezi na kwa kuanzia malipo ya miezi 6 yatalipwa. kama unayo tafadhali nijulishe.
Nauza Suzuki Escudo Nomade, Air Condition, Redio ya CD, Ya mwaka 1991, Imeingia nchini mwaka 2007 na ilikuwa ikitumika na Waziri mwenye dhamana huko zenj. Bei maelewano but not less than 7m...
Hi Buddies,
I have upgraded to Nikon D90 prosumer camera and don't think I would need my Canon Powershot SX 20 IS around any more.
I bought this great camera at BestBuy and have taken around...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.