Matangazo madogo

ONYO: Usiweke links za aina yoyote! Uongozi wa JF hautahusika kwa namna yoyote kwa mawasiliano ya mauzo yaliyowekwa na wanachama bila kutushirikisha.

On JF:

  • Closed
Heshima zenu wana JF. Nasikitika kuwafahamisha kuwa mwana JF ambaye alitangazwa hapa na Maxence Melo kuwa anaumwa sana na kuomba tumwombee amefariki dunia. Mwana JF huyu ambaye ni mke wa mwana...
0 Reactions
129 Replies
18K Views
Jamani nauliza kama naweza kupata redio yenye CD tatu,na iwe na uwezo wa kusoma USB kwa bei ya 350000 Tsh,haraka sana
0 Reactions
2 Replies
2K Views
Kiwanja kinauzwa, kimepimwa,kina hati na kipo katika eneo lililopimwa (moja ya maeneo ya viwanja 20,000 vya mradi, eneo zima lina viwanja 8000 vilivyopimwa) kipo eneo la Buyuni,ilala (It is...
0 Reactions
2 Replies
4K Views
Iwe toleo la kuanzia 2000 na kuendelea. Iwe katika hali nzuri. kama unayo au unajamaa unamfahamu anauza tujulishe haraka kupitia 0784225000
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Nampongeza mwanangu Franklin kwa kutimiza miaka miwili. Mungu akulinde na kukutunza,maisha yako yawe ya mafanikio,baraka na amani. Your Mumy Mary C Mekelle-Tigray State Ethiopia
0 Reactions
9 Replies
2K Views
Ndugu, Mimi nimekuwa natumia TV ya SONNY Triniton, Lakini sasa imechoka kwani rangi haionekani vizuri. Hivyo nataka kununua TV nyingine. Budget ni kama 700K hivi. Nimeshauriwa nininue Flat...
0 Reactions
2 Replies
2K Views
Ninahitaji TOYOTA RAV4 L ya kuanzia mwaka 2004 na kuendelea na isiwe imetembea zaidi ya kilometer 100,000. Kama unayo naomba tuwasiliane. MJ
0 Reactions
16 Replies
2K Views
samahani wakubwa Tanzania inauzwa kiasi gani kuna mtu anaulizia sasa mimi uzoefu wangu ni tochi,naomba msaada wenu tafadhali.
0 Reactions
11 Replies
3K Views
The African Studies Program of the University of Iowa will hold a Symposium entitled ³The Future of Multiparty Democracy in East Africa² on April 1-2, 2011. All events will be held at the...
0 Reactions
2 Replies
2K Views
nna tumilioni kama sita hivi cash, mwenye hio makitu anipigie, 0654633109
0 Reactions
1 Replies
1K Views
Escudo nomade ya mwaka 1993 ipo katika hali nzuri sana inauzwa, piga simu 0658 699 543
0 Reactions
2 Replies
2K Views
MAGETI; MILANGO NA MADIRISHA YA CHUMA AU ALUMINIUM; FREMU ZA MILANGO ZA CHUMA (STEEL) KWA WASIOPENDA USUMBUFU WA MCHWA; MATANGI YA UKUBWA MBALIMBALI KWA AJILI YA KUHIFADHI NAFAKA; VIOO VYA...
0 Reactions
2 Replies
2K Views
nyumba ya vyumba sita,na flame ya biashara inauzwa keko mwanga,ina umeme na maji,karibu na kanisa la kekomwanga.bei maelewano.piga namba 0659 631651
0 Reactions
2 Replies
2K Views
Habari wadau! Kwa yoyote anaedeal na spare natafuta front half cut ya mark 11 gx 100, napatikana ktk number 0762332222
0 Reactions
0 Replies
968 Views
Natafuta half cut ya gx 100 mark 11, kwa yeyote aliyonayo tuwasiliane kwa simu no 0762332222
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Tanzanian Training Centre for International Health, Ifakara REFRESHER COURSE FOR CLINICAL OFFICERS 2011 18- 29 April 2011 Ifakara, Tanzania. This course is open to clinical officers...
0 Reactions
8 Replies
2K Views
Mwenye kujua wapi naweza kupata iphone 4 ya 16GB ani pm nataka mpya .. slightly used sijui used from Gongo la mboto sizitaki
0 Reactions
13 Replies
2K Views
Ipo nyuma ya Ubungo kibangu shule ys Msingi. Ina vyumba vitatu vya kulala. uzio. sebure. jiko. Ni self contained. Kodi ni tzs 300,000 kwa mwezi. Mawasiliano 0784225000 or 0717114409
0 Reactions
0 Replies
2K Views
Wakuu heshima mbele!natafuta generator ndogo kwa matumizi ya nyumbani,manake huu mgao wa umeme ishakua taabu!kwa sisi tuanoishi huku maporini unaweza kumkanyaga nyoka akakugonga bure,gharama...
0 Reactions
13 Replies
4K Views
Natafuta nyumba ya kupanga Arusha iwe ya vyumba viwili vya kulala,sebule,jiko,choo na bafu,pia geti,umeme na maji. bei ianzie 100,000/= hadi 150,000/= kwa mwezi ndiyo tutakayomudu kwasasa wana JF...
0 Reactions
13 Replies
3K Views
Back
Top Bottom