Hii nimeiona mahali nikaona ni vema kuiweka hapa.
Kwa heshima na taadhima, naomba kwa wale wote waliosoma degree ya sociology kwa ngazi yoyote, iwe ni Tanzania au nje ya nchi bila kujali ni mwaka...
One storey building to let located just opposite to Mlimani City (100metres from University of Dar es Salaam Road) has one master bedroom, 2 rooms self contain, sitting room, dining hall, kitchen...
Salaam JF,
Nauza gari aina ya corolla 110. Gari ipo kwenye hali nzuri, ni AC tu ndio haifanyi kazi.
Transmission - Automatic
Fuel - Petrol
Eng - 14090cc
Bei - 6M (maelewano yapo)
Kwa...
Nina kijana wa ndugu yangu wazazi wake wote walifariki. sasa amefaulu kuingia form one shule za kata kijijini. nilitaka kumsaidia apate shule ya boarding ya serikali ili aweze kusoma vizuri...
3 bedrooms, nice garden,
big compound of about 1800sqm,
beautiful lounge and dinning area, servants quarters. Rent is $ 1,500 per month. You are free to pay rent starting from three months...
Huyu dada tulipata kusoma naye, Ukwamani Shule ya Msingi huko Gairo.
Baadaye yeye alijiunga na Kilakala Girls nami nikaenda Tanga Tech School.
Wakati tukiwa Shule enzi hizo alikuwa anatumia...
We sell E-Books and E-Magazines in PDF format for ease of access and convenience. From Economist, Business Week, Time Magazine, to Harvard Business Review, GQ, Maxim, FHM and World Soccer...
Jamani kwa mgao huu wa umeme ndugu yangu anahitaji fundi wa umeme wa jenereta ili aweze kucheck jenereta yake na kui-connect kwa nyumba yake (Sinza). Ni jenereta y amatumizi ya nyumbani...
Naomba...
Two bedrooms (one ensuite), dinning, sitting room, kitchen, Garden, fully furnished, Fully AC, balcons. Rent is $ 1300 per month. Call +255784225000 or to view other properties...
Ndugu Wana JF
Naomba msaada wa kupata contacts za Mh. Prof. Anna Tibaijuka, nataka kuwasiliana nae anipe appointment ya kuonana naye ofisini kwake.
Niko kwenye harakati za kumsaidia mzee mmoja...
Haya wana JF na hiyo tena gari nauza aina Subaru Forester Year 1999, Km 105,000, 2.0cc, 4WD, Automatic, Turbocharge, good condition, small scruch and dent, kutoka Japan ilikua na KM88,000 so...
NDUGU WANAJAMII NA WADAU WOTE KWA UJUMLA,NAUZA GARI YANGU TOYOTA MARK 11 BALOON IKO KWENYE PICHA HAPA.
BEI Sh; MILION TANO (5,000,000/=)
SPECIFICATION;
Toyota mark 11 baloon
Manufactured year...
Wadau kwa yeyote mwenye kuhitaji laptop kuanzia moja na kuendelea, hesabu tatizo lako limeisha. Laptops mpya na nzuri zimeingia kutoka UK. Specifications zake ni kama ifuatavyo:-
Model : HP...
Wana JF habari? Naombeni wajemeni mnisaidie nimpate rafiki yangu Bwana David Kupaza. Nilisoma nae shule ya sekondari Usagara Tanga kuanzia mwaka 1995-1998. Baadae alijiunga high level na shule...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.