Nahitaji mkopo wa masharti nafuu sana wa shilling million Kumi. sina Fixed assets kama collateral ila nalipwa mshahara wa 1.5 M per month net. I want to open a very small business opportunity to...
Wana JF habari? Naombeni wajemeni mnisaidie nimpate rafiki yangu Bwana David Kupaza. Nilisoma nae shule ya sekondari Usagara Tanga kuanzia mwaka 1995-1998. Baadae alijiunga high level na shule...
Madirisha za KISASA. Haysumbuwi na KUTU, Unaweza ku osha na MAJI.
Pia ni SOUND PROOF klk ALUMINIUM.Bora zaidi klk. ALUMINIUM na MBAO.
Rangi sipo NYAWPE na RANGI ya MBAO.
Tunafiti mahali popote...
Wana JF Nauza Gari aina 2002 Land Rover Freelander Year / Month 2002
Odometer 90,000 km, Displacement 2,500 cc, Steering Right, Transmission Automatic, Fuel Gasoline/Petrol, Model code GF-LN25...
Ebu mtaalam mmoja anisaidie. Ninauziwa kifaa cha kuumulia mikate (proofer) hapa USA. Kwa umeme wa kitanzania wa 220v-240V mashine hii ya 110v-208v itafanya kazi?
Ipo kimara Stop Over mita chache kutoka barabara kuu-Morogoro road. Ina vyumba vitatu vya kulala kimojawapo kikiwa self contained, sebure kubwa, jiko na dinning. Ina Hati Miliki. Bei 125mil. Piga...
Nyumba ya vyumba 3 inapangishwa, ipo kigamboni South Beach Resort, sehemu salama na yenye fensi kuzunguka eneo lote la nyumba karibu 100+. Ni mita chache kutoka baharini, huduma zote muhimu zipo...
Ipo kimara stopover mita chache kutoka barabara ya
Morogoro.
Ina vyumba vikubwa vitano vya kulala na sebure kubwa
mbili.
Inafaa sana kwa matumizi ya Guest House.
Bei 58mil.
Piga simu...
Eneo kwa ajili ya matumizi ya shule linauzwa. Lina ukubwa wa
2400 sq meters. Lipo Mwanagati wilaya ya Ilala. Mwanagati ni eneo
Lenye viwanja 2000 vilivyopimwa ktk mradi wa viwanja elfu 20000...
A super large plot measuring about 2.24 Ha is ready for sale. This plot is allocated along the Arusha- Dodoma road, about 10km from the city center and about 2 km from the Arusha Airport. Arusha...
hello wanaJAMVI,
nauza kiwanja kilichopimwa,kina hati na kinalipiwa kodi ya ardhi kama kawaida.kina advantage nyingine kwamba kipo mwishoni na kuna eneo ambalo halijapimwa na halina...
Mkuu napenda kutoa pongezi zangu za dhati kwa ndugu yetu na rafiki yetu kwenye JF, kwa kuweza kufaulu viva voce examination na kutunukiwa shahada ya juu (Doctor of Philosophy) PhD. Najua...
please nahitaji toyota rav4, 5doors rangi yeyote, ila milage isizidi 120,000km, na bei pia isizidi 10m. iwe katika hali nzuri haijapata ajali ikaumiza vifaa vya ndani, mikwaruzo, dents hizo ni...
(Godwin) White 1995 Automatic Petrol V6 1998cc 122798 km 5doors Full AC Sports Lights with Bull Bar Duty Paid Price 7.5mil. Mawasiliano. 0717114409/0755312233
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.