Shamba linauzwa bei poa

Shamba linauzwa bei poa

Ipi dot com

JF-Expert Member
Joined
Mar 28, 2011
Posts
306
Reaction score
166
Lipo kisarawe kijiji cha kifuru station ekari 5 m 2 tu lipo kiharali kabisaa
 
mkuu lina mazo hilo shamba ama ni poli tu, ni umbali gani toka barabara kuu, urahisis wake wa kutoka barabara kuu kufika kwenye shamba?
 
mkuu lina mazo hilo shamba ama ni poli tu, ni umbali gani toka barabara kuu, urahisis wake wa kutoka barabara kuu kufika kwenye shamba?

km 33 toka banana na gari yoyote inafika na ni mita 300 toka barabarani, nilishawahi lima mara moja mkuu
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom