Habari yako msomaji,
Naomba msaada, natafuta orodha ya radio mpya zitakazo anza kurusha matangazo yake/ambazo zimeanza kurusha matangazo yake 2011. Natafuta majina na contact zake. Naamin hapa Jf...
Poleni kwa kazi wandugu, Napenda kutambulisha kwenu firm yetu (Interim Hospitality Consultancy) inayotoa ushauri katika Hotel, Lodges, Camps and Tours. We do a lot from project conceptualization...
Habari wanajamii
kwa yeyote ambaye anahitaji kiwanja maeneo ya Kigamboni Dege, tuwasiliane kupitia namba 0767 616 800 au 0712 800 616
Upande wa magharibi bahari ipo umbali wa KM 1 na nusu
Upande...
Eka 3 zinauzwa Kibaha kongowe njia ya kuelekea Soga,eneo limeanzia barabarani umeme upo maji.eneo lipo km 2 toka old Morogoro Road Bei Mil 15. Hapajapimwa pazuri sana.
Call 0754383174.
Eneo linauzwa Kibaha kati ya Tanita na kwa Mathias, eneolipoupande wa kushoto kuelea Morogoro. Eneolipo mita 100 toka Morogoro Road. Panafaa kwa Yadi,kiwanda. Kujenga shule. umeme Maji vipo Piga...
Haijakamilika. Ina msingi wa ghorofa tatu. ground floor vyumba sita self contained. Ghorofa ya kwanza imekusudiwa kujengwa vumba saba na ghorofa ya pili imekusudiwa kujengwa vyumba saba. Jengo...
Nauza toyota spasio ya mwaka 2000 imetembea km 95000. Ipo katika hali nzuri kama mpya! mtanisamehe maana sina sina picha yake. ipo morogoro. bei 7m!!:confused2:
nawakilisha.
Kwa mwenye kuhitaji shamba lenye ukubwa wa acre nne linauzwa maeneo ya mbutu kigamboni ( kilomita 25 kutoka ferry) awasiliane na jamaa mwenye namba +255718381814.Shamba lipo nje ya mradi wa mji mpya.
Habari yako msomaji.
Home Radio Ministry inakuletea huduma zifuatazo:-
1. Tunasaidia radio mpya zinazoanzishwa kwa kuandaa vipindi vya nguvu, programming ya wafanyakazi kupewa mafunzo.
2...
Inahitajika nyumba ya kupanga ambayo itakuwa maeneo ya Mwenge, Survey, Makongo na viunga vyake.
Yaani iwe maeneo ya Mwenge au karibu na Mwenge.
Iwe na chumba Master (Choo na bafu ndani ya...
Two separated houses in one compound are for rent. Located at Whitesands near by giraffe or Beach comber Hotel, or Jagwani Sea Breeze. A beautiful family home of three bedrooms. Features...
Kina ukubwa wa eka 22. Kimepimwa na kina Hati miliki.Huduma muhimu za kijamii kama umeme na maji zinapatikana.Bei shs 250mil. Maelewano yapo. Kwa maelezo piga simu 0717114409
Nyumba kubwa ya ghorofa moja vyumba 4 vya kulala master bedroom 1 na min library na imezungushiwa ukuta wa matofali inauzwa iko eneo la kwa mrefu karibu na ceti garden iko umbali wa kama mt.150...
Mivumoni ipo mbele baada ya Wazo Hill. Vipo viwanja nane vyenye ukubwa wa mita 30 kwa 25. Kila kimoja kinauzwa sh 6.5 mil.Kwa mawasiliano. Piga simu 0717114409
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.