Msaada njia panda (vifaa vya ujenzi)

Msaada njia panda (vifaa vya ujenzi)

DullyM

Member
Joined
Mar 24, 2011
Posts
72
Reaction score
18
Wandugu najua humu hakuna lisilo tatuliwa angalau kwa mawazo!! Hivi machine za kufyatulia matofali nitazipata kwa kiasi gani na wapi? natanguliza shukrani za dhati!!
 
Hebu toa maelezo ya kutosha mkuu, Unataka mashine z kufyatua matofali ya aina gani?
 
Kama unataka mashine za kufyatulia interlocking bricks (manual) nenda SIDO au BICO chuo kikuu cha dar es salaam.
 
Shukrani nitaenda kukamatia mitaa hiyo.
 
Back
Top Bottom