Wakuu habari!
Mdau yeyote mwenye taarifa ya nyumba ya kupanga maeneo ya Kimara,Ubungo au Mwenge. Iwe na sifa hizi:
- Vyumba vya kulala 2 au 3 (+ 1 Master bedroom); Sebule, dining, public toilet...
Hope wote mpo wazima. Natafuta nyumba ya kupanga, lakini iwe maeneo ya kariakoo, but then kuna dalali mmoja kanikatisha tamaa kaniambia sintopata chini ya $600 mpaka $700 tena in dollars na hiyo...
Wakuu nauza mtambo.
Nissan patrol(Safari)
1998
engine 4500cc
7 seater
Automatic gearbox
Rangi ni metallic grey
Ni bomba kabisa na ipo DAR
Price negotiable niPM
Haya wakuu leteni offer za...
Petrol Station ipo Kwa Mfipa inauzwa. Kituo kipo kabda ya stand Kwamfipa upande wa kushoto kuelekea Morogoro, kinafanya kazi kuna Pump 4, tanki 4. Tanki 2 za ujazo wa lita 25,000@moja. Tanki...
Nimepata habari njema toka kwa member mwenzetu mtukuka JF senior Expert Yo Yo kuwa atashindwa kujumuika nasi kwa takribani siku zaidi ya kumi kwa sababu atakuwa kwenye mapumziko mafupi.Amesema...
Ipo changombe, karibu na maduka mawili na kona ya barabara ya kuelekea ukumbi wa sigara
inatazama barabara ya changombe.
Inafaa kwa biashara mbali mbali kama duka la kawaida, duka la dawa, saloon...
Habari yako msomaji,
Naomba msaada, natafuta orodha ya radio mpya zitakazo anza kurusha matangazo yake/ambazo zimeanza kurusha matangazo yake 2011. Natafuta majina na contact zake. Naamin hapa Jf...
Poleni kwa kazi wandugu, Napenda kutambulisha kwenu firm yetu (Interim Hospitality Consultancy) inayotoa ushauri katika Hotel, Lodges, Camps and Tours. We do a lot from project conceptualization...
Habari wanajamii
kwa yeyote ambaye anahitaji kiwanja maeneo ya Kigamboni Dege, tuwasiliane kupitia namba 0767 616 800 au 0712 800 616
Upande wa magharibi bahari ipo umbali wa KM 1 na nusu
Upande...
Eka 3 zinauzwa Kibaha kongowe njia ya kuelekea Soga,eneo limeanzia barabarani umeme upo maji.eneo lipo km 2 toka old Morogoro Road Bei Mil 15. Hapajapimwa pazuri sana.
Call 0754383174.
Eneo linauzwa Kibaha kati ya Tanita na kwa Mathias, eneolipoupande wa kushoto kuelea Morogoro. Eneolipo mita 100 toka Morogoro Road. Panafaa kwa Yadi,kiwanda. Kujenga shule. umeme Maji vipo Piga...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.