Nahitaji mawazo ya watanzania wenzangu!

Nahitaji mawazo ya watanzania wenzangu!

agala

Member
Joined
Sep 13, 2011
Posts
57
Reaction score
12
Kwani kuna umuhimu wa kutangaza biashara yako kwenye mitandao?

kwakunisaidia zaidi ili nipate success kwenye biashara yangu nitajie sehemu ninazoweza kutangaza au ninaweza kupata system ya online inayoweza kurahisisha
zaidi kuhusu ili swala coz nimeipata moja inaitwa jigambeads inapatikana mitandaoni.
 
Ni vizuri kutangaza biashara yako online kwasababu ya kuepuka usumbufu hasa kupoteza muda wako wa kufanya mambo mengine, na inakurahisishia kutangaza kwa watu wengi na kwa bei nafuu, na hiyo JigambeAds ndiyo mpango mzima!
 
Kwani kuna umuhimu wa kutangaza biashara yako kwenye mitandao?

kwakunisaidia zaidi ili nipate success kwenye biashara yangu nitajie sehemu ninazoweza kutangaza au ninaweza kupata system ya online inayoweza kurahisisha
zaidi kuhusu ili swala coz nimeipata moja inaitwa jigambeads inapatikana mitandaoni.

Sasa kwanini umeamua kuuliza swali na kulijibu mwenyewe au kutoa alternatives........?
 
Kwani kuna umuhimu wa kutangaza biashara yako kwenye mitandao?

kwakunisaidia zaidi ili nipate success kwenye biashara yangu nitajie sehemu ninazoweza kutangaza au ninaweza kupata system ya online inayoweza kurahisisha
zaidi kuhusu ili swala coz nimeipata moja inaitwa jigambeads inapatikana mitandaoni.
umeuliza swali na kujijibu..................tunafahamu unatangaza website yenu ni kweli lakini sio unakuja kitoto hvo
 
umeuliza swali na kujijibu..................tunafahamu unatangaza website yenu ni kweli lakini sio unakuja kitoto hvo

you reach to our point i think you shall be the first people to to have commissioning with you.....! thanks for ur support.
 
Na sio thread hii tu,
Wamechafua zingine kibao tu,
Mod nawaomba muunganisheni huu uchafu wao wote waliouweka humu!!
"........., Kibaya chajitembeza"
 
wote hawa lao moja, wanataka kuongeza traffic kwenye website yao.

inawezekana wako kikazi zaidi hawa.

sijawai ona ishu ya kipuuzi kama hawa jamaa, kama site yako ni nzuri watu watakuja tu mzee, si unaona jamiiforums?

Huyu ni mtu mmoja ana id kibao, ukiona sijui tanzaniakwetu, sijui jigambe ni huyo huyo.

Childish attitude.
 
Back
Top Bottom