Matangazo madogo

ONYO: Usiweke links za aina yoyote! Uongozi wa JF hautahusika kwa namna yoyote kwa mawasiliano ya mauzo yaliyowekwa na wanachama bila kutushirikisha.

On JF:

Ni DELL Latitude D630, imeibwa Mabibo Hostel, jana majira ya saa 1:30 usiku. Taarifa ya upotevu ipo Kituo cha Polisi wasaidizi Mabibo Hostel. Yeyote atakayepata taarifa zake tusisite kupeana...
0 Reactions
33 Replies
4K Views
Habari wadau Gari inauzwa, Aina ni Corona Premio, imetembea kilometre 55,000, ni automatic ya mwaka 1996, engine capacity 1800cc, 5doors, ipo kwenye good condition, bei ni Millioni saba na nusu...
0 Reactions
2 Replies
2K Views
please ni pM, kwa yeyote aliyonayo af akawa anaiuza tafadhali check with me tufanye biashara fasta
0 Reactions
13 Replies
2K Views
Plots ziko mita 500 kutoka beach na zingine zinatazama barabara kuu ya kwenda ferry eneo la changani beach km 20 kutoka ferry,bei ni tsh 5000per square metre zimepimwa(surveyed).kwa maelezo...
0 Reactions
21 Replies
6K Views
viwanja mbezi makabe\msakuzi vinauzwa 25*20 2.5m, 22*20 2m, 20*20 1.8m. umeme upo call: 0715 055 577\0769 055 577
0 Reactions
2 Replies
2K Views
Wanajamvi ... Sijui kama hili ni jukwa sahihi lakini naomba msaada... Ninafanya maadalizi ya kuwapeleka wafanyakazi wenzagu (15) visiwani Zanzibar (bila familia zao) kupumzika siku nne na...
0 Reactions
8 Replies
2K Views
............Wakuu naomba msaada wa kupata gari aina ya Toyota Nadia ambayo nitanunua kwa mtu...aliye na data anipe..specifications is as follow: Isiwe imetumika kwa zaidi ya mwaka mmoja Injini...
0 Reactions
1 Replies
1K Views
Ina vyumba vitatu vya kulala. sebure na jiko. Kodi shs 350,000 kwa mwezi. Piga simu 0717114409
0 Reactions
0 Replies
1K Views
SYALI PRINTERS AND STATIONERS Syali printers and stationers tuko mikocheni kwa mwalimu, kwa mahitaji yako yote ya printing aina zote,steshenari na vifaa vya maofisini Bei zetu...
0 Reactions
0 Replies
2K Views
DIASPORA 3 LONDON, 6TH AND 7TH MAY 2011 The Tanzania High Commission in London in collaboration with the Tanzania Association in the UK (TA-UK) are organizing a Tanzania Diaspora...
1 Reactions
0 Replies
960 Views
We offer the following installation services at a very affordable prices: Security Cameras (CCTV) Electrical Fences Alarm Systems Motor Gates Security Lights Video phones We can also: Install...
0 Reactions
4 Replies
2K Views
Nimetengeneza magazine la burudani,fashion na burudani so kwa yeyote mwenye uwezo wa kuriprint na kulimiliki awasiliane nami kupitia email. ckundawa@gmail.com au cell no 0718656164 n 0715220004...
0 Reactions
1 Replies
1K Views
Kiwanja chenye ukubwa wa mita 20x23 kinauzwa, kipo kitunda kivule tsh 2,500,000/=, maelewano yapo, pia kina matofali 600 nayauza kwa 550 kila moja. Wasiliana nami kwa simu namba 0713-357542.
0 Reactions
9 Replies
5K Views
mashamba yenye ukubwa kuanzia hekari moja na kuendelea,yanapatikana/yanauzwa maeneo ya msolwa chalinze barabara ya morogoro,kwa mawasiliano piga na:0717012656
1 Reactions
6 Replies
2K Views
Tuna uza DVD-R, DVD+R, DVD-RW, DVD+RW NA CD-R, CD-RW, KWA BEI YA JUMLA NA REJAREJA. PIA TUNAUZA DVD COVER NA CD COVER ZA AINA MBALIMBALI MF 14MM,10MM, 7MM,10.5MM, 9MM. VILE VILE TUNA BIDHAA...
0 Reactions
8 Replies
4K Views
Bei Shilingi 530,000 Ofcoz bado naipenda simu yangu basi tu nauza kwa shida za dunia
0 Reactions
0 Replies
2K Views
VIWANJA MBEZI MAKABE\MSAKUZI VINAUZWA 25*20 2.5Mil, 22*20 2Mil, 20*20 1.8Mil. UMEME UPO CALL: 0715 055 577\0769 055 577
0 Reactions
1 Replies
4K Views
Wakuu nauza Toyota harrier just imported from Japan in March KM;126,000 Year of manufacture;1999 CC;2200 Drive;automatic Price;Tshs 18,000,000/= Color;Beige Cream Nitaweka picha soon...
0 Reactions
2 Replies
1K Views
Jamani kuna nyumba inayopangishwa Kiseke Mwanza, ni nyumba ya PPF, ila imeongezwa zaidi, imepigwa plasta na rangi nzuri, ina vyumba vitatu masterbedroom na vingine viwili, ina gate na fence, ina...
0 Reactions
3 Replies
3K Views
Wana JF naombeni kwa yeyote anayejua sanduku la Barua la ofisi ya Afisa utamaduni wa Moshi ikiwezekana na no ya simu anisaidie plz.thankx
0 Reactions
2 Replies
2K Views
Back
Top Bottom