Kiwanja kinauzwa kipo mita 800 kutoka NJIA PANDA(HIMO) kama unaelekea Dar-es Salaam ukitokea Arusha,ukubwa wake ni heka moja kimepimwa kama eneo la mji kwa ajili ya maandalizi ya jiji la Moshi.kinapakana na barabara ya Arusha - Dar kinafaa kuweka Sheli, hospitali shule,maghala na mengineyo.bei ni maelewano, anayehitaji ani PM Kwa maelewano zaidi.wote mnakaribishwa.