Blackberry Torch 9800 used for 4month for sale, iko kwenye condition safi sana kana inavyoonekana kwenye picha.
Bei ni 500,000Tshs
kwa anaye hitaji please check me on watchesandmobile@gmail.com...
Salaam wakuu!
Nahitaji gari dogo la kukodi hapa DSM kwa ajili ya kuendea kazini mainly.
Nitaendesha mwenyewe au nikipewa na driver itakuwa bora,kuanzia saa 1 asubuhi mpaka saa 6usiku maximum
Ni...
suzuki escudo, ipo kwenye hali bomba,imetembea KM 78000; petrol engine, manual flow gear, AC&CD player vpo safi kabisa. Bei 7mil. Kama kuna muhitaji ani pm.
Natafuta mhandisi wilaya wa Kinondoni ili anijulishe gharama za kupitisha ramani kwa ajili ya building permit. Kama wewe ni trust worth engineer tafadhali ni pm.
Habari za shughuli wadau,
Nimepata uhamisho wa kikazi ghafla juzi kwenda mkoani. Nyumba hii nilikuwa nimehamia mwezi huu yani yaani tarehe3, lakini ndiyo hivyo tena risks ambazo siku-foresee...
Size: 40*30 6 milion
size: 25*25 3milion
size: 25*20 2.5milion
(all infrastructures are available like power, water and road)
call: 0715055577/0769055577.
Wadau,
Nahitaji gari zifuatazo kama kuna mtu anauza. Iwe imetumika kati ya mwaka mmoja hadi miwili, na iwe katika hali nzuri.
Bei ni maelewano kutokana na hali ya gari.
- Toyota Premio, 1800cc...
Habari za shughuli wadau,
Nimepata uhamisho wa kikazi ghafla juzi kwenda mkoani. Nyumba hii nilikuwa nimehamia mwezi huu yani yaani tarehe3, lakini ndiyo hivyo tena risks ambazo siku-foresee...
Nauza Isuzu Trooper ya mwaka 1993. Ipo Mbezi ya Kimara. Excellent Condition. Bei 16m.
Magari mengine ni
- Kia Saloon 8.5 m ipo Znz.
Contact me for more details.
Nyumba inauzwa maeneo ya magomeni kagera ni yakukarabati kidogo tu ni ya vyumba 6 na mabanda ya uwani mawili, bei ni mil 70 gari inafika adi mlangongoni cm yangu,,0767 666137
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.