Ipo chanika, eneo la kinyamwezi-DSM.
Imejengwa boma lililokamilika kwa ustadi na halijaezekwa.
Ina vyumba 3 vya kulala, sitting room, kitchen, dinning, mini-store na vyoo vya ndani.
Ina verandah...
Wadau.
Hope mko sawa! mnaendelea kulitumikia taifa letu zuri
Nahitaji 4 BB curve or bold.. kama unahuzo au wamjua dealer nicheck kwa benson.mugashe@gmail.com
Shamba lenye ukubwa wa ekari 6 linauzwa kibaha kwa mathias kilometa moja kutoka morogoro road ni eneo flat linafaa kwa kujenga yard,shule au matumizi mengine kwa anayehitaji wasiliana na Swedi...
Habari zenu wakuu, naombeni mnielekeze sehemu hapa dar ambayo nitaweza kununua refill kit kwa ajili ya catrages za HP, nimetembelea sehemu nyingi hapa dar wengi wao wanarefill tu hawauzi tonner au...
habari zenu wana JF!
Natafuta mtaalamu wa ku design a small in-ground swimming pool (for domestic use only). Nimeomba quote toka kampuni moja ya ujenzi wameniambia bei ambayo naona iko inflated...
Habari wakubwa,
Nauza hiyo Bold Inakua na charger na earphone
Bei ndo hiyo 350000
Napatikana Dar na unaweza nichek kwa namba 0655-003510 kama unahitaji.
Brand:Nissan
Model: Nissan march
Year of manufacture: 2001
Colour: lighty blue
Location : Dar es salaam
Kilometer: 100000
Other features: DVD music system,alloy rims,tinted ,good...
Nyumba inapangishwa Mbezi luisi, mabasi yanapogeuzia.
Vyumba vitatu vya kulala, kimoja master bedroom, jiko, sebule kubwa na dinning room.
ipo ndani ya fensi na kuna tenki la maji lita 1000...
Nyumba inapatkana mbezi makonde, ina vyumba viwili vya kulala, sebule, jiko na choo cha ndan(public toilet), iko kwenye shared compound, car parking kubwa. Kodi kwa mwezi ni Tsh 200,000 kwa miez...
uta mwalimu kwa ajili ya kulea na kufundisha watoto kwenye kituo cha kulelea watoto kuanzia march 5.
awe na uzoefu wa kulea watoto, awe na elimu ya malezi ya watoto, na awe na upendo kwa watoto.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.