pesa kidogo hyo
Natafuta nyumba ya kupanga vyumba viwili maeneo Kimara,ubungo,mbezi,kijitonyama,mwenge.....kodi TSH300,000-TSH400,000,ikipungua ndio furaha yangu.
Tafadhali mwenye maujuzi haya nisaidie.
Natanguliza shukrani zangu.
mtwangie huyu 0787-153880,ana nyumba Mwenge.
Natafuta nyumba ya kupanga vyumba viwili maeneo Kimara,ubungo,mbezi,kijitonyama,mwenge.....kodi TSH300,000-TSH400,000,ikipungua ndio furaha yangu.
Tafadhali mwenye maujuzi haya nisaidie.
Natanguliza shukrani zangu.
Natafuta nyumba ya kupanga vyumba viwili maeneo Kimara,ubungo,mbezi,kijitonyama,mwenge.....kodi TSH300,000-TSH400,000,ikipungua ndio furaha yangu.
Tafadhali mwenye maujuzi haya nisaidie.
Natanguliza shukrani zangu.
NYUMBA YAPANGISHWA
Nyumba umepata. Ipo Kimara Mavurunza mita chache kutoka ''Morogoro road''. Ina vyumba vinne vya kulala(kimoja master bedroom, self contained). Ina sebure kubwa yenye ukubwa wa sqm 40, jiko lenye ukubwa wa sqm 15, na store yenye ukubwa wa sqm 6. Sakafu ya nyumba yote imewekwa tiles. Ina uzio. Ina bustani iliyosheheni miti. Maji yapo. Kodi shs 350,000/- kwa mwezi.
Hiyo hela mingi sana utapata nyumba nzuri tu usitoe 400 000 nenda pale cinza lyon karibu na baa uliza pale kwa muuza chips wapi nyumba inapangishwa atakuonesha unaenda mwenyewe kukwepa hela ya udalali au vp
Manzese je