Wadau chaser inauzwa.model ni gx 90,ni ya mwaka 1993 auto ipo katika hali nzuri,inatembea,sio mbovu,full ac,mp3 Jvc,
full tinted and sports rims.Engine capacity 1989.
Insurance inamaliza muda wake...
Habari zenu wapendwa,
mimi ni mama wa mtoto mmoja na mume mmoja, natafuta sehemu ya kusupply lunch kwa Dar es salaam. yeyote atakayesikia au anayefahamu sehemu ambayo wanashida hiyo tafadhali...
Dears,
Jana nimedondosha BB yangu sasa imepata hitilafu kwenye kioo siwezi view chochote sasa mwenye kujua fundi wa simu aina ya Blackberry anisaidie nipo Dar. kuongezea asiwe fundi tapeli mpenda...
Mimi naitwa Ally nimemaliza masomo yangu ya PHARMACEUTICAL ASSISTANT Mwaka 2011 kwahiyo naomba kama kuna pharmacy inayohitaji fani hii au Hospital basi naomba tuwasiliane kupitia no.0763424125 ndo...
KIWANJA NA MAJENGO MAWILI VINAUZWA.
Kiwanja kizuri 1432square metre, kipo mita 40 tu kutoka Barabara ya Kilwa, Jirani na Kiwanda cha Nguo cha Karibu Textile Mills Ltd, Mbagala. Kina nyumba moja ya...
blackberry bold 9700 white with charger,usb cable,and earphone going for 290000,IKO POA KABISA.BEST OFFER EVER.
NAUZA BEI HYO KWASABABU NINA SHIDA YA PESA LEO HII. WASILIANA NAMI 0653269241
Kiwanja hiki kinaukubwa sawa na uwanja wa mpira wa miguu ( a standard football pitch/ground)...kipo barabarani eneo la madale dsm na linafaa sana kwa petrol station maana sehemu ile hamna(sio...
Kwa yeyote mwenye malalamiko au kero zinazohusiana na huduma za mawasiliano hapa nchini Tanzania;fika/peleka kero au malalamiko yako kwa njia hizi:
1.Baruapepe:info@tcra-ccc.go.tz
2.Fika...
Nina Lg GU 285,ni 3g,slide up,double camera,external memory up to 8gb,internal memory 62mb,internet ipo safi,inakaa na chaji vizuri,ina proglam za call reject kwa single namba,proglam ya ku lock...
Laptop ni mpya na ina specification zifuatazo
HDD - 250GB
RAM - 2GB
DVD-RW
15 inch LCD screen
3:30 Hours battery life
Core 2 dual processor
Bluetooth
Card-Reader
Bei ni 650,000/=. nicheck kwa...
Wandugu kuna toshiba mpyaaa kabisa yauzwa specs hizi hapa.....
BRAND NAME: TOSHIBA,PENTIUM P6100
RAM: 2.48 GB
PROCESSOR: 1.6GHZ
HARD DISC: 500GB
DISPLAY: 15.6'
DVD: SUPER MULTI DRIVE
COLOUR:BLACK...
Ipo chanika, eneo la kinyamwezi-DSM.
Imejengwa boma lililokamilika kwa ustadi na halijaezekwa.
Ina vyumba 3 vya kulala, sitting room, kitchen, dinning, mini-store na vyoo vya ndani.
Ina verandah...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.