Matangazo madogo

ONYO: Usiweke links za aina yoyote! Uongozi wa JF hautahusika kwa namna yoyote kwa mawasiliano ya mauzo yaliyowekwa na wanachama bila kutushirikisha.

On JF:

Nyumba chakavu 4 zinauzwa zikiwa katika viwanja tofauti 3 zipo kinondoni shamba moja ipo keko. kati ya hizo tatu moja unaweza paki gari mpaka mlangoni na hizo mbili gari hazifiki. nyumba hizi ni...
0 Reactions
8 Replies
1K Views
tunayumba za kupangisha , kuuza . kwa matumizi binafsi na ofisi kwa maeneo niliyotaja hapo juu. kwa anayetafuta nyumba maeneo hayo tuwasiliane, na pia kwa anayetaka kuuza nyumba au mali yoyote ...
0 Reactions
10 Replies
2K Views
ninaiUza samsung Galaxy S used, its running the latest ICS Android OS. Anyone interested?please note down your offers?
0 Reactions
19 Replies
2K Views
Ipo Ilala, iko barabarani kabisaa, nyumba kubwa inavyumba 6 na vyumba vya uani 5.. Na eneo linabaki. Bei milioni 500 bei inapungua, mawasiliano.. 0713133633
0 Reactions
9 Replies
2K Views
Simu inauzwa Sony erickson touch screen U5i imetumika miezi 3 tu you can google it for more information Bei 250,000 phone 0686990399
0 Reactions
4 Replies
1K Views
Ni nzuri , ina mlango wa ku-slide, na floor tiles nzuri. Fremu hii ipo barabara ya changombe na inatazama bara bara hiyo. Ipo kati kati ya maduka mawili na bora bei ni tshs. 90,000 kwa mwezi na...
0 Reactions
1 Replies
917 Views
anayeuza ani pm iwe used lakin on good condition\
0 Reactions
0 Replies
675 Views
wana JF mm sina uzoefu wa kutosha juu ya hizi printer.........ilka nataka kununua printer yenye uwezo wa ku-print passport size, karatasi kwa rangi zote coloured na coloures. so nahitaji kujua ni...
0 Reactions
6 Replies
6K Views
Ni nzuri , ina mlango wa kii wa ku-slide, na floor tiles nzuri. Fremu hii ipo barabara ya changombe na inatazama bara bara hiyo. Ipo kati kati ya maduka mawili na bora bei ni tshs. 90,000 kwa...
0 Reactions
0 Replies
749 Views
Kwa wanaohitaji kukodi magari tunayo aina zote, wasialiana kinshagad@helmicgroup.com
0 Reactions
0 Replies
951 Views
Mada hapo juu
0 Reactions
6 Replies
1K Views
Kwa mtu anayehitaji kuuza au kununua nyumba Dar - Es - Salaam. Tuwasiliane 0657 145555. 0755 099 291 na 0686 200 117 Havilla Real Estate Agent. karibuni
0 Reactions
2 Replies
3K Views
Trans:Atomatic Km:108667 Colour:Red One owner Price:8mill and negotiable.for serious bayer call 0716245491
0 Reactions
1 Replies
743 Views
model 42PX5D iko sokoni ilikuja bila circuit kutoka ulaya.piga 0655945598
0 Reactions
0 Replies
796 Views
Habari wana JF! Kuna kiwanja maeneo ya chanika kwa singa kinauzwa. Ni cha miguu 17 kwa 17, Kutoka kwa singa mpaka kilipo ni mwendo wa dakika 12 hadi 15 kwa miguu. Bei ni 2 millions inapungua...
0 Reactions
5 Replies
1K Views
Ikiwa uko/utakuja Dodoma katika shughuli binafsi/kikazi na unahitaji usafiri katika shughuli/kazi zako. Jibu lako....!!!
0 Reactions
4 Replies
2K Views
Nokia 6020 used inauzwa.Ina sapot internet pamoja na Opera mini 3.2 vesion,2MB memory,3GP video,mp3.Bei maelewano fika bei uchukue.Hii ni kwa wale wakaz wa Moshi kuja Sanya Juu tu.Nitafute kwa...
0 Reactions
0 Replies
986 Views
Habarini za kazi wana Jf, nimeinasa habari hii hivi punde nikaona niwajuze wadau kwa kuijaribu hii kitu. Napenda kuwafahamisha kua TTCL imefanya marekebisho yahuduma zake za broadband zisizo na...
2 Reactions
7 Replies
3K Views
Ninahitaji Dump Truck 4Ton Iliyotumika iwe na namba za Zanzibar.Fuso, lsuzu au Hino.iwe hapa Dar au Zanzibar
0 Reactions
0 Replies
1K Views
SALAAMS WANABODI! Napenda kuwafahamisha kuwa tumeanzisha huduma ya kupata vitu mbali mbali bila kuathiri shughuli zako na muda wako. Huduma unazoweza kupata ni zifuatazo kwa sasa;kusajili...
0 Reactions
20 Replies
3K Views
Back
Top Bottom